golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,270
- 693
we ulifikiri ndoa ni lele mama?
Ahaaa, kumbe ndoa sio lele mama? Ni nini sasa, ni lele baba au?we ulifikiri ndoa ni lele mama?
kisukari my dear!huyu mwanaume ndo yuleeeee alituma post kuwa mke wake anagombana na dada zake na mama yake ameamua kumnyima unyumbahii story siiamini.kweli unyimwe umfukuze mwenzio usiku wa manane.ulikuwa umelewa?kama ni kweli,pengine humridhishi,anaona ni kero,usimuamshe nyege ambapo kumfikisha humfikishi.au kuna zaidi ya hili,hiyo imekuwa kama sababu tu.badilikeni wanaume.mke sio mtumwa jamani
Toka juz namwomba chakula ya ndoa ananinyima kwa madai anaumwa,lakini kazi nyingine anafanya, nimeona ananifanyia kusudi.
nahisi harufu ya majibizano ya mme na mke hapa, inaonekana nyie ndo wenyewe mmekuja mrushiane vidonge hapa jf...mkae chini muyamalize tu jamani, ndoa ndivo zilivyo.kwani we si ndo ulikuwa unamnyima ilikuwaje tena ukadai,we ulivokuwa unakimbilia bar?
Mkuki kwa nguruwe eeh! kwa binadamu mchungu!!! Si ndio wewe ambaye mkeo alikuomba umfanye ukakataa na chakula chake kususa kwa sababu ya ugomvi kati ya mke na mama yako!? Hadi ikafikia mkeo akuombe umtafutie mwanaume ili amtimizie raha zake za kimwili. Wanaume kama wewe ni aibu kubwa kwa wanaume wengine ambao wanajitahidi usiku na mchana kutatua matatizo mbali mbali ndani ya familia zao ili kuleta amani na upendo ndani ya nyumba. Bora tu aamue kuondoka zake moja kwa moja badala ya kuishi na mwanaume mwenye tabia za ajabiu ajabu kama wewe.
Hapo kwenye red: Bora aondoke aende wapi jamani??? Yaani hapo wanapoishi si MALI YAO WOTE WAWILI??? Yaani mama wa watu akaanze kutafuta pa kuishi wakati wanalo Bungalow lao? Mie naona
1. Huyo mwanaume hana haki ya kumfukuza - kwani hapo ni nyumbani kwa mke wake kama palivyo pake
2. Huyo mwanamke hatakiwi kuondoka hapo - instead HUYO MWANAUME NDIO AONDOKE ZAKE akapange chumba au atafute nyumba somewhere elese
3, Kama siku zote alikuwa anapewa hicho chakula cha usiku - ajipeleleze kwanini amenyimwa??
my take - labda haogi, labda ana nyumba ndogo na mkewe kagundua ; labda ameanza tabia za ulevi;
lazima atakuwa amemuudhi mama wa watu.
KUMFUKUZA NI MFUMO DUME - USHINDWE NA ULEGEE :nimekataa
unajua kuwa ulivyomfukuza alikimbilia kwa mwanaume mwingine? kuna siku nilikuwa kahama, kwenye lodge, basi saa saba usiku mdada mmoja mzuri akawa anagonga geti la ile lodge, mlinzi wa pale alikuwa rafiki yangu kwasababu nilikaa pale kwenye lodge karibia miezi miwili na mara nyingi huwa nafikia pale, alipoenda kufungua yule binti akaingia, akamwambia amefukuzwa na mumewe, anaomba alale pale.....yule mlinzi siku hiyo alikuwa ameachia lodge yote receptionist hakulala pale, akamchukua yule binti akamtandikia pale ambapo huwa analala receptionist, akamgonga hadi asubuhi binti kwa raha zake. siku hiyo hata doria mlinzi hakufanya yaani...asubuhi basi tulicheka kweli manake ilibidi nimwulize kulikoni yule binti alikuwa akiomba msaada.....mbona nilisikia miguno hapo kwenye receptionist room, akanichekesha kusema kuwa jana usiku hata wezi wangekuja wangefanya watakavyo kwasababu kazi ilikuwa moja tu, ulizi badae.Toka juz namwomba chakula ya ndoa ananinyima kwa madai anaumwa,lakini kazi nyingine anafanya, nimeona ananifanyia kusudi.
nahisi harufu ya majibizano ya mme na mke hapa, inaonekana nyie ndo wenyewe mmekuja mrushiane vidonge hapa jf...mkae chini muyamalize tu jamani, ndoa ndivo zilivyo.
umeona enh BAK huyu Mkumbavana sio kiumbe wa kufaa kuitwa mwanaume!Mkuki kwa nguruwe eeh! kwa binadamu mchungu!!! Si ndio wewe ambaye mkeo alikuomba umfanye ukakataa na chakula chake kususa kwa sababu ya ugomvi kati ya mke na mama yako!? Hadi ikafikia mkeo akuombe umtafutie mwanaume ili amtimizie raha zake za kimwili. Wanaume kama wewe ni aibu kubwa kwa wanaume wengine ambao wanajitahidi usiku na mchana kutatua matatizo mbali mbali ndani ya familia zao ili kuleta amani na upendo ndani ya nyumba. Bora tu aamue kuondoka zake moja kwa moja badala ya kuishi na mwanaume mwenye tabia za ajabu ajabu kama wewe.
Mshauri Wewe Basi!
Tuone Kama Ni Jiji-Nga
Mimi Si Mji-Nga!?
Kuna kidume kinamchosha mchana
Omba mungu mke wako si kama huyu hapaView attachment 70150