Nimemfukuza mke wangu sa 8 usiku

Nimemfukuza mke wangu sa 8 usiku

Mimi sielewi siku hizi tatizo liko kwa waoaji na waolewaji au taasis nzima ya ndoa. Zamani suala kama hili mwoaji alitakiwa kufuata taratibu zilizowekwa za kureport sijui kwa wazee sijui mshenga kisha muhusika akaitwa akajibu shtaka la kumnyima mumewe 'maji, chakula sijui nini cha usiku' kabla maamuzi hayajafanyika
 
Toka juz namwomba chakula ya ndoa ananinyima kwa madai anaumwa,lakini kazi nyingine anafanya, nimeona ananifanyia kusudi.

kaka nakupa darasa, mke/mwanamke ni mtu wa kubembelezwa hata km amechoka ukiziamsha hisia zake kwa mahaba, nakuapia hakunyimi. tatizo la kwetu wanaume hapo utakuwa ulishtuka tu usingizini, sababu uliota unakula mzigo basi ukataka ufanye iwe kweli, basi unataka tu mwenzio asaule akupe kavu kavu hata kumstimulate hakuna khaaa!

Mbembeleze mkeo, mpe maneno matamu, mtanie kishkaji eeh usiwe na haraka wala papara utaona matokeo!
 
Nahis umewahi kuondoka mirembe, hujamaliza dozi mkuu rud mapema kabla hujafanya vituko vingi na vibaya zaid ya hivi, maana unakoelekea kama mwezi ukiwa mchanga utabaka hadaharani so utafungwa. Kujiepusha na hayo rud MIREMBE fasta
 
Kama ulimfukuza saa 8 usiku tukusaidie vp cc? Unataka tumrejeshe wakati hata hatumjui na wala sio tuliekuozesha....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom