msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,883
Sasa kwanini mkajiwekea kinga ili msishitakiwe kwa kuvunja katiba. Si mngebadilisha hlf mkavunja mnavyotaka?Katiba siyo msahafu Bwashee.
Tunafuata msimamo wa Rais Dr Magufuli!
Sasa kwanini mkajiwekea kinga ili msishitakiwe kwa kuvunja katiba. Si mngebadilisha hlf mkavunja mnavyotaka?Katiba siyo msahafu Bwashee.
Tunafuata msimamo wa Rais Dr Magufuli!
Wakiwa kwenye kikao cha chamaKatika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica
like father like son, mitano tenaKatika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica
Ya Lema Hayakuheshimiwa!Demokrasia inaheshimu mawazo ya watu
Mikwala ya juice kutoa gasKatika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica
Mikwala ya juice kutoa gasKatika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica
Mikwala ya juice kutoa gasKatika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica
Hakuna anaye kataa ulaji,japo wachache hawatakosa kuwepo.Mangapi hakuyaheshimu na yupo kwenye katiba? sembuse hilo la kuongezewa muda..! mwache ajilie vyake si mmemchagua wenyewe.
Huyo naye ni bureeee kabisaKatika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica
Zamani asilimia Kubwa walimpenda MagufuliMkuu Britanica,
Zamani ulikuwa ukimwelezea Mh Rais kwa sifa chanya lakini siku hizi ni HASI kwenda mbele nadhani kuna maslahi yako yalizibwa na hapakuwa na namna ya wewe kujinasua ndio maana umegeuka ghafla.
Nahisi pia hauko nchini Tanzania maana unajulikana sana pamoja na kwamba hapa unatumia utambulisho ghushi.
Je, jina lako linauhusiano na mafunzo kupitia mitandao au ni kifupi cha majina yako matatu (Given name, middle name na surname)?
Nilikuwa nachanganya na neno Britannica lenye maana ya "Providing digital learning resources designed for all ages and abilities"
Habari za Russia?
Usimchukie kiongozi wako kwa kukuadabisha kutokana na makosa ya utendaji. Kosoa lakini kwa heshima kama wewe unavyotaka uheshimiwe.
Msimamo wa Rais ni kwamba hataki nyongeza ya muda, sasa Tulia amekuudhi nini? Au wewe unataka nyongeza ya muda huo kwa hiyo amekuudhi baada ya kuona yeye Tulia ana msimamo sawa na wa Rais? Mnapost vitu hata havieleweki mnawachanganya wasomajiKatika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica
Hivi huyu mdada ni mwanasheria wa nini vile?Katika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica
Mkuu ukiona kiongozi anaheshimu katika sio kwamba anaiogopa katiba hapana ni kwa sababu ya utu na ustaarabu wake tu.Sasa Katiba ni ya nini? Kiongozi asiyeheshimu Katiba ni wa kuogopa Kama Ukoma
Mkuu ukisoma vizuri utaona hapo mbunge yeye alinasibisha kwa kusema "atake au asitake huyo raisi"Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Swali hili pia inawezekana hata hiyo katiba ikabadilishwa ikawa hakuna ukomo wa uraisi.Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Hawa watu wakienda huko wanasahau taaluma zao. Wanaendeshwa na matakwa ya m/kiti na siyo katiba.Katika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI KUONGEZA.
Maswali yangu: Je, tunafuata feelings za Rais au Katiba inavyosema?
Pili: Vipi Rais akibadili Msimamo au Mtazamo?
Kuna haja ya kuangalia mitazamo yetu upya.
Britannica