Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,531
- 4,276
Acha urooongo.! Rais pekee hawezi kubadili katiba! kuna mapingamizi mengi yatakayomfanya ashindwe
Unamfahamu Rais wa JMT wewe? Isije ikawa unamfananisha na Donald Trump alipokuwa Rais wa US. Muulize Johnthebaptist akufahamishe.