appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,826
- 3,098
juzi juzi nilianza kazi hivyo ikabidi niishi na girlfriend wangu nwa siku nyingi kama mke na mume nyinyi wenyewe si mnajua ndoa za mjini mjini ukimkwapua kwao tu ndio ushaoa hivyo.
sasa tabu inakuja wapi yaani ndio kwanza nimenunua kitanda na tv yaani naanza maisha nina miezi 3 tangu nianze kazi kuna mdogo mtu sijui katowka wapi nae kaja anataka kuishi nkumfukuza nashindwa sijui nifanyeje naona hiki kitakua kitakuwa kwenye maendeleo yangu nifanyeje?
sasa tabu inakuja wapi yaani ndio kwanza nimenunua kitanda na tv yaani naanza maisha nina miezi 3 tangu nianze kazi kuna mdogo mtu sijui katowka wapi nae kaja anataka kuishi nkumfukuza nashindwa sijui nifanyeje naona hiki kitakua kitakuwa kwenye maendeleo yangu nifanyeje?