nimemchukua dada kaja mdogo mtu tabu tupu

nimemchukua dada kaja mdogo mtu tabu tupu

Yaani mi ningewajaza mimba wote iwe fundisho....wangekuwa wanapishana tu kutema mate seating room....
 
upi sasa alafu katoka mbali kigoma hata tv hakuna basi 24 7 habanduki

ndo ubinafsi wenyewe huu mwisho utaanza kumhesabia idadi ya matonge anayomega......

By the way umepata kazi ndani ya miezi 3 tu mmesogezana........ Ilibidi ujipange kwanza wewe ukakimbilia mbunye....mbunye ina majukumu na majukumu ndo hayo.....umebugi meeen
 
juzi juzi nilianza kazi hivyo ikabidi niishi na girlfriend wangu nwa siku nyingi kama mke na mume nyinyi wenyewe si mnajua ndoa za mjini mjini ukimkwapua kwao tu ndio ushaoa hivyo.
sasa tabu inakuja wapi yaani ndio kwanza nimenunua kitanda na tv yaani naanza maisha nina miezi 3 tangu nianze kazi kuna mdogo mtu sijui katowka wapi nae kaja anataka kuishi nkumfukuza nashindwa sijui nifanyeje naona hiki kitakua kitakuwa kwenye maendeleo yangu nifanyeje?

Set goals kubwa zaidi kwenye maendeleo yako, kuwa aggressive kwenye ku achieve goals hizo, hii itakusaidia kwenda mbele kimaendeleo haraka zaidi, na uta afford kuishi nao wote. Vilevile mtasaidiana na mkeo/GF.
Uchukulie huo ugeni kama chachu ya kukusukuma kwenye maendeleo na mafanikio zaidi.
 
ni vizuri ukamwambia mchumba wako amwambie arudi home.
 
fuga kuku kazi iwe kwenye banda la kuku,namaanisha tafuta njia yoyote ya kumtumia ku
kuingizia kipata,akiona hwezi asonge mbele.
 
Arudi home ana nauli ya kurudia? Hakuja na ticket ya go and return.

kwa hiyo unataka ushauri wa nini? kama hana ticket ya go and return basi ungeweka thread ya kuomba msaada wa nauli hapa.
 
Kupanga ni kuchagua,

ila dalili ya Umaskini hiyo ndugu yangu, soon atakuja mama mkwe kuwatembelea halafu....................
 
Pole sana hao watu mbona hawana haya jamani miezi mitatu washaanza kuvutana ,ukimaliza mwaka una family ya watu nane
mwambie dada mtu
 
wee kwa nini umeweka goma ndani? mgegede huko huko kwake
Watoto bwana mawazo yao yote ni kegegeda tu, ndoa ni maisha kugegeda ni kisehemu kidogo sana kwenye maisha ya ndoa.
 
juzi juzi nilianza kazi hivyo ikabidi niishi na girlfriend wangu nwa siku nyingi kama mke na mume nyinyi wenyewe si mnajua ndoa za mjini mjini ukimkwapua kwao tu ndio ushaoa hivyo.
sasa tabu inakuja wapi yaani ndio kwanza nimenunua kitanda na tv yaani naanza maisha nina miezi 3 tangu nianze kazi kuna mdogo mtu sijui katowka wapi nae kaja anataka kuishi nkumfukuza nashindwa sijui nifanyeje naona hiki kitakua kitakuwa kwenye maendeleo yangu nifanyeje?
Kama ni wa kike, dawa yake ni ndogo sana......! Ngoja wadau waongee meeengi, mie nitafunga mjadala baadae!
 
fuga kuku kazi iwe kwenye banda la kuku,namaanisha tafuta njia yoyote ya kumtumia ku
kuingizia kipata,akiona hwezi asonge mbele.

huyu anasema ndo kaanza kazi miezi mi3 iliyopita, kwa vyovyote vile atakuwa anapanga nyumba! unaweza kufugia kuku kwenye nyumba za kupanga?
 
Watoto bwana mawazo yao yote ni kegegeda tu, ndoa ni maisha kugegeda ni kisehemu kidogo sana kwenye maisha ya ndoa.

alikudanganya nani sehemu ndogo sana....ndoa is all abt intimacy and kugegedana is the ultimate form of intimacy
 
fanya nao mapenzi wote


Hakuna kosa kubwa katika mhusiano kama hilo akimfanyia hivyo mdogo wake siku akija ndugu wa mwanaume na mwanamke akaamua kulipiza kisasi itakuaje.
 
Kuna watu nawafahamu ile wamemaliza kufunga ndoa wana kitanda kimoja,wakawa na wageni wawili,ndio walivyoendelea hvo mpaka sa hv maisha yao yapo juu sana na ukienda kwao muda wowote ni full wageni na maendeleo yao ni makubwa sana.wewe mwenyewe utakavyochukulia hao wageni kama challenge ama vp,ongea na gf wako aanze biashara ya kawaida muendelee msitegemee income moja.
 
Back
Top Bottom