Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,445
- 2,507
Watanzania tunakubali kuwa maskini kwa sababu ya woga wetu.
ndio umeanza life unaletewe mdogo mtu utajijengaje kimaisha?
we mweleze kweli maisha hayakaa vema..
tuwe kama wachaga wako serious,mtu akitaka kusaidiwa ni huku huko aliko na sio aje kuleta kiwingu
Ni heri lawama kuliko fedheha ndugu.
kesho utaletewa wakwe nao mbanane huko huko
ndio umeanza life unaletewe mdogo mtu utajijengaje kimaisha?
we mweleze kweli maisha hayakaa vema..
tuwe kama wachaga wako serious,mtu akitaka kusaidiwa ni huku huko aliko na sio aje kuleta kiwingu
Ni heri lawama kuliko fedheha ndugu.
kesho utaletewa wakwe nao mbanane huko huko