Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

Sio umemchoka, sema dhamira inakusuta.
Sasa kama ulivyomtongoza kaa nae mwambie umeamua kutulia na mkeo. Ataumia lakini atasahau
mnyime pesa uone kama hajakuacha mwenyewe
 
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?

Karibuni
Una umri gani? Nauliza kwa kitendo chako cha kuuliza swali kama hili. Hili ni swali la vijana wanaobalehe. Kwa umri wa kuweza kuoa halafu unaleta swali kama hili hata kama ni la kutunga, basi una matatizo ya ufahamu. Au vyuma vimebana hadi kuondoa akili.
 
Unadumu kwenye ndoa yako kwa sababu ya huyo mchepuko. Nakushauri usimuache ila hakikisha umpi mimba na usimbane sana naye apate wa kumuoa...
Sisi wanaume hatujaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja...
Hukumpata kwa bahati mbaya...
Dumisha amani nyumbani
 
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?

Karibuni
Ye Binti anamjua mkeo??
Maana kama hamjui basi tafuta Mdada wa Mjini chonga nae dili kisha siku ukiwa na Binti, huyo Mdada ajifanye ndio Mkeo amekufumania mahali kisha ampige biti la nguvu huyo binti aache kutembea na mumewe,
Tafuta dada mwenye mikwara mingi na muongeaji ili akipiga biti liingie sawa sawa,

Ila kama Binti anamjua Mkeo basi hapo tafuta plan ingine
 
Njia pekee ni kumpokea YESU kristo, aliye ishinda dhambi na mauti, ili akuondolee hiyo roho ya tamaa since you never solve spiritual problem by a technique of human mind, ukifanya hivyo utakuwa unajipa likizo tu kwa muda.
 
Sio umemchoka, sema dhamira inakusuta.
Sasa kama ulivyomtongoza kaa nae mwambie umeamua kutulia na mkeo. Ataumia lakini atasahau
Huwa nawashangaa sana mwanawake ambaye anakubali kuwa mchepuko "knowingly".... akiwa anafahamu kabisa kuwa anayemtongoza ni mume wa mwanamke mwenzie....!!! 🙁🙁🙁🙁
 
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?

Karibuni
kwan wewe unachokipata kwa mama watoto hakitoshi ? tamaa tu yaani njia ulioitumia igeze op
 
Unamkaribisha nani sasa?? pambana na uchafu wako..rubbish
mlango ulioingilia ndo huohuo utaotokea.
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?

Karibuni
nipe namba za huyu mchepuko wako nam nimfinyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tafuta mdada, panga nae ajifanye ndiyo mkeo...ampigie simu hiyo small house, akimwambia amegundua mahusiano yenu, na ampige biti la nguvu....Then mpigie/kutana nae small house mwambie tu bhana wife amegundua..na mwambie msitishe mahusiano.
....Hii mbinu nishaitumia na kuleta mafanikio...
Mkuu nimekuelewa
 
Huwa nawashangaa sana mwanawake ambaye anakubali kuwa mchepuko "knowingly".... akiwa anafahamu kabisa kuwa anayemtongoza ni mume wa mwanamke mwenzie....!!! 🙁🙁🙁🙁
Unadhani mkiambiwa ukweli kwamba tumeoa mtatukubalia,tunawaficha kwanza mpaka tule ndo tunawaambia tukijua hatuna cha kupoteza.Hata wewe unaweza ukatongozwa na mme wa mtu bila kujua mark my word.
 
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto. Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa maana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje. Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijisikie vibaya ?

Karibuni
Badili dini mkuu
 
Unadhani mkiambiwa ukweli kwamba tumeoa mtatukubalia,tunawaficha kwanza mpaka tule ndo tunawaambia tukijua hatuna cha kupoteza. Hata wewe unaweza ukatongozwa na mume wa mtu bila kujua mark my word.
Nakubaliana na ulichosema hapo kwenye bold...... Ninachongaaa ni pale mwanamke anapotongozwa na mume wa mtu.... Akijua ni mume wa mtu..... Na anakubaliana na yatakayojiri.... Scenario kama ya mwanzisha uzi huu..... !!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom