Mkeo anajua,isipokuwa ana busara zaidi yako.Kwa nini? Ameamua kukuchora tu kwa kuamini nafsi itakusuta na utaacha.Taarifa zenu zilizo nyingi zimemfikia lakini ameamua akaze moyo.Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.
Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.
Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?
Karibuni
Ha ha ha
NaamKm unampenda mkeo hilo ni jambo simple sana,hamna sababu ya kutafuta ili umuache sababu ya kuwa unamke inatosha mwanzo ulipotea njia kwenda kwake
MmmmmmhMjengee nyumba, mnunulie gar, mnunulie iPhone 7, mfungulie na biashara nina uhakika ukifanya hivyo ni wiki tu utamsahau, mimi ndio huwa nafanya hivyo
Hapo sasanyie ndio mnaofanya wanawake watuone wanaume wote matapeli..sasa ulijua una mke,ya nini tena kuhangaika na wengine?
Kweli?Ukitaka kumuacha mkutanishe na mkeo [emoji23][emoji23][emoji23]dawa ya moto maji
Nalo nenoSio vizuri muoe mke wa Pili labda yeye akatae mwenyewe
Siyo mbayaMwambie mkeo kajua una mchepuko unataka kulinda ndoa yako kwa kuacha kuchepuka
Mimi kwa kweli kama mwanamke kanipenda kwa dhati km huyo na kajisubmit namm nikampenda na imani inaruhusu, kwann nisimuoe akawa wa Pili . Inapasa tuwahudumie wanawake wenye mapenzi na nidham ktk maisha maana wana nyoyo. Kumwacha mwanamke anayekupenda na kukuthamini hata km una mke ni kumwonea sana. Hana MTU mwingine anayempenda zaidi Yako unafikiri ataenda kwa Nani? Vinginevyo km mwanaume huna mpango wa badae na Mtt wa watu acha usimtongoze unamharibia future. Tafuta wale wa kupita ambao hawataki ndoa km kina naniliu....Nalo neno
Mimi imani yangu hairuhusu kupiga na kupita.Bali nikienda ni ndoa tu.Mimi kwa kweli kama mwanamke kanipenda kwa dhati km huyo na kajisubmit namm nikampenda na imani inaruhusu, kwann nisimuoe akawa wa Pili . Inapasa tuwahudumie wanawake wenye mapenzi na nidham ktk maisha maana wana nyoyo. Kumwacha mwanamke anayekupenda na kukuthamini hata km una mke ni kumwonea sana. Hana MTU mwingine anayempenda zaidi Yako unafikiri ataenda kwa Nani? Vinginevyo km mwanaume huna mpango wa badae na Mtt wa watu acha usimtongoze unamharibia future. Tafuta wale wa kupita ambao hawataki ndoa km kina naniliu....
Tamaa za wanaume si unazijua lakiniUlijijua una mke kwa nini ulimtongoza lakini mkuu na we mchepuko endelea hivyo hivyo ili ajifunza na kuchepuka kwake
Huo ndiyo uanaume wenyewe..nyie ndio mnaofanya wanawake watuone wanaume wote matapeli..sasa ulijua una mke,ya nini tena kuhangaika na wengine?
Tuliza kichwa naona una stress. Unakumbuka Kwanini wanaume wanaongoza kwa kuchepuka kuliko wanawake?Kwanini wanaume wanaongoza kwa kuchepuka kuliko wanawake?Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.
Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.
Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?
Karibuni
Nawe mito una tamaa eenh kama hiyo mleta uziTamaa za wanaume si unazijua lakini