Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 8,510
- 10,722
Ukitaka kumuacha mkutanishe na mkeo [emoji23][emoji23][emoji23]dawa ya moto maji
Ukitaka kumuacha mkutanishe na mkeo [emoji23][emoji23][emoji23]dawa ya moto maji
hahahahahahahahahaUnamkaribisha nani sasa?? pambana na uchafu wako..rubbish
Mambo kifimboPAMBANA NA HALI YAKO
jiangalie ww
poa mkuu za pilika.....JF ni bombastic au sioMambo kifimbo
Safi sana.Sio umemchoka, sema dhamira inakusuta.
Sasa kama ulivyomtongoza kaa nae mwambie umeamua kutulia na mkeo. Ataumia lakini atasahau
Yani wanawake wa hivyo ni mafala acha wachezeweHuwa nawashangaa sana mwanawake ambaye anakubali kuwa mchepuko "knowingly".... akiwa anafahamu kabisa kuwa anayemtongoza ni mume wa mwanamke mwenzie....!!! 🙁🙁🙁🙁
Hahahahahahahaa.......Mwanaume mnavisa sana.Km zile mbinu ulizotumia kumnasa sasa zigeuze utumie kinyume chake.
Duh uko vizuri sn mkuuKm zile mbinu ulizotumia kumnasa sasa zigeuze utumie kinyume chake.
Mbona rahisi sana, siku ya kuchepuka abebe chupi 2 za kike halafu akimvua yake azichanganye na zile mbili wakimaliza akidai chupi yake atoe mfukoni na zile mbili halafu ashituke amwambie achague yake hakuitazama rangi.Hahahahahahahaa.......Mwanaume mnavisa sana.