Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

Mgegedo

Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
91
Reaction score
89
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto. Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa maana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.

Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje. Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.

Nitumie njia gani kumuacha ili asijisikie vibaya ?

Karibuni
 
ME unashindwa fanya maamuzi myepesi hivyo?
pole aisee..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom