Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,191
- 138,535
Lete # zake za simu niwaachanishe
Mwambie mama watoto wako atakupa ushauri mzuri, usiogope!Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.
Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.
Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?
Karibuni
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.
Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.
Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?
Karibuni
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.
Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.
Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?
Karibuni
Mtu mwenyewe unajiita mgegedo hata ukimwacha huyu utaendelea kugegeda wengine tu! Majina huumba, ukiitwa shida utakuwa mtu wa shida tu, ukiitwa mgegedo........Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.
Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.
Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?
Karibuni
Umeniwahi tu ndugu. Nimewaza hivyo hivyo. Shughuli kana hiz unamkabidhi mkeo unajiokotea pointi 3 za bure za "uaminifu"Ukitaka kumuacha mkutanishe na mkeo [emoji23][emoji23][emoji23]dawa ya moto maji
[emoji2] [emoji16] [emoji16]na avatar yako je??[emoji2] [emoji2]
Huyu binti niko nae kwenye mahusiano ni mwaka sasa na tayari anafahamu nina mke na mtoto.Kila nikimtafutia sababu ili nimuache najikuta nashindwa mana kiukweli hajawahi kunikosea kosa ambalo litanifanya nimuache kiurahisi.
Tangu nimeanza nae mahusiano hakuna hata siku moja ambayo mke wangu amegundua kwamba niko kwenye mahusiano na mwanamke mwingine wa nje.Nahisi namkosea sana mke wangu hivyo nataka niachane na haya mambo ya michepuko nitulie tu na mama watoto wangu.
Nitumie njia gani kumuacha ili asijiskie vibaya ?
Karibuni