sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,435
- 5,102
Kuna watu wako standby ku take advantage of your niceness, nilikua naamini watu wanafanya maamuzi in a rational thinking lakini sio
0. Kijana ameoa ila anaona sifa kutembea na wanawake wengine nje, au kijana haoni shida kutembea na wake za watu.
1. Unakaa na kijana wa rika lako anakwambia anagawa ndoa kama njugu, yani haoni shida kumdanganya mdada atamuoa mana wadada wengi wanataka hivyo, kisha akimpata kimapenzi anaenda kumdanganya mwengine, ye haoni shida.
2. Akisikia unatuma tuma hela kqandugu anakwambia hao sio wa maana fanya yako.
3. Kijana mwenzako anakukopa kisha anajifanya amesahau kabisa, uaminifu zero kabisa .
4. Kijana anajihusisha na mambo ya kwenda kwa waganga, pombe kubet.
kuna muda unaona unaishi katika ulimwengu wa pekeako
0. Kijana ameoa ila anaona sifa kutembea na wanawake wengine nje, au kijana haoni shida kutembea na wake za watu.
1. Unakaa na kijana wa rika lako anakwambia anagawa ndoa kama njugu, yani haoni shida kumdanganya mdada atamuoa mana wadada wengi wanataka hivyo, kisha akimpata kimapenzi anaenda kumdanganya mwengine, ye haoni shida.
2. Akisikia unatuma tuma hela kqandugu anakwambia hao sio wa maana fanya yako.
3. Kijana mwenzako anakukopa kisha anajifanya amesahau kabisa, uaminifu zero kabisa .
4. Kijana anajihusisha na mambo ya kwenda kwa waganga, pombe kubet.
kuna muda unaona unaishi katika ulimwengu wa pekeako