Ka ingelikuwa miye ningesema; Kama mbwayi ni mbwayi. Kwa kuwa kamzidi hata huyo mkeo kwa kila kitu, basi ngoja dingi aje, andaa katafrija kidogo home kwako, mkaribishe dingi na mamako/mkewenu mdogo, mkeo aandae meza, mnyweshe wine, na dingi anywe makali sana, mfurahi halaf akiwa chakari mlaze na mkeo kitandani kwako wote wakiwa uchi, na weye na huyo mpya wenu na dingi mlale hapo chini chumbani uchiiii. Dingi akiamka na mkeo akiamka na cheupe naye akiamka, hakutakuwa na aibu tena, mnajulishana tu kuwa wote jamii moja tu hakuna jambo baya.
Tangu hapo dingi tayari atakuwa bro, wife atakuwa friend wa dingi. Mbaaafuuuu, alalaye na mke wa babaye, amelaaniwa kabisa.