Nimelamba mchepuko wa dingi, hautaki tuachane

Nimelamba mchepuko wa dingi, hautaki tuachane

Bible ipi hiyo inayohalalisha mchepuko kuwa mke?

unajua kisa cha Yakobo kumlaani mwanae Reuben? Reuben alifanza uasherati na msichana wa kazi ambaye alikuwa amezaa na babaye. Huyu mdada hakuwa mke lakini baba alishafunua nguo kwa hiyo Reuben alitakiwa kuheshimu hilo. Kosa moja halihalalishi lingine. Ila kama hiki kisa ni cha kweli basi kuna haja ya kuandamana kama warundi Yesu arudi.
 
Mm Nina ID moja tu
Nikikukosoa ni dhambi?

Kwa hiyo watu wakikukosoa wana id mbili?
Acha ushamba

Maana ukisema thread ni ya uongo unatutukana na sisi tulio comment ndo maana nikasema utaolewa maana unadandia vitu

Kwani umelazimishwa kuchangia?
Kama ya uongo si upite

Watu 59 tume comment ss ni wajinga

Narudia tena utaolewa acha mdomo na ujuaji

If you read the whole thread, sijatukana, ila umekuja na kuanza kuita watu wanawake mara wataolewa mara blah blah

And its not i cant bad mouth you... its just a waste to do that

counting 59 people who commented, well this is funny... show me the substance
 
Kama wewe unaifahamu biblia, bila shaka unatambua kuwa dunia ya sasa haiishi nyakati ulizozitaja...

Hivyo usiitumie wala usitumie maandiko isivyopaswa...

unajua kisa cha Yakobo kumlaani mwanae Reuben? Reuben alifanza uasherati na msichana wa kazi ambaye alikuwa amezaa na babaye. Huyu mdada hakuwa mke lakini baba alishafunua nguo kwa hiyo Reuben alitakiwa kuheshimu hilo. Kosa moja halihalalishi lingine. Ila kama hiki kisa ni cha kweli basi kuna haja ya kuandamana kama warundi Yesu arudi.
 
Wakuu ,

Nimekamatwa katikati ya penzi zito la mchepuko wa dingi yangu, Ipo hivi mimi nimeoa kwa miaka miwili sasa naishi Mwanza
wazazi wangu pia wanaishi hapa hapa Mwanza kwa takribani mwaka na kitu. Wamekua kwenye mgogoro mzito sana kuhusu huo mchepuko ambapo mzee kwa sasa anarudi home once in a week, siku zilizobaki zote analala kwa huo mchepuko ambao ameupangisha nyumba ya gharama kubwa na thamani za ndani pia.

Kwa kweli kachanganyikiwa vibaya juu ya huo mchepuko yaani ingekua bado tuna mhitaji kifedha labda bado tupo shule na kadhalika sieleewi ingekuaje. Cha kushukuru mungu wote tunafamilia zetu sasa hivi juzi kati kama miezi mitatu hivi dingi aliniuliza hivi ni lini utamfahamu mama yako mdogo maana wewe ndio mtoto wangu pekee wa kiume, nikamwambia mzee ni wewe tu, ukiwa tayari nipeleke dada zangu wote waligombana na mzee hivyo hawaongei kisa ni ugomvi wa wazazi kuhusu huo mchepuko hadi mama alipata ugonjwa wa hypertension juu ya huo mchepuko.

Nikapelekwa kuuona huo mchepuko, ila yy mwenyewe anatumia jina mama mdogo, kufika pale mtoto ni mkali sijaona, ni mweupeee utadhani Mwarabu, kiuno chembamba halafu wowowo hilo, kapiga kigauni hicho paja zote nje nikaambiwa mwamkie mamdogo huku umri anaonekana kulingana na mdogo wetu wa mwisho ambae pia ameolewa. Akamwambia binti hili ndo jembe langu peaneni namba za simu maana ikitokea nimeanguka huku huyu ndo unampigia simu kumtaarifu maana mzee ana medical condition flani hivi anaishi kwa masharti.

Mara kwa mara tumekua na mawasiliano na yule binti kwa mambo mbali mbali nimezoea kwenda pale hata kama Mzee hayupo kumsalimia, maana binti hulaumu mbona huji hata kunitembelea n.k. One day Mmee alikua nje ya Mwanza akanitumia list ya vitu nivinunue nimpelekee yule binti huwa hataki kabisa atoke. Nilipofika akatoa pombe kali akanipa yeye akawa anakunywa Dompo sikuwahi kunywa pombe kabla. Muda ulivyozidi kwenda tukaanza michezo ya kilevi, mara kuvutana na kadhalika kuja kustuka tupo dunia nyingine.

Nilishangaa ananivua nguo kama ugomvi vile mwisho tukawa tumeoana kwenye kochi pale.Nikiri tu wazi tangu kufahamu mapenzi mazito kama yale, kiuno kinazungushwa huwezi kama pana mfupa pale. Tuliendelea kufanya mchezo huo mara kwa mara, wakati mwingine natoroka kazini mchana naenda.Kwa kweli hata mke wangu anaachwa mbali sana na huyu binti kwa mambo hayo. Hata kabaang ambayo sikuwahi kufanya ndo nilipata for first time ni tamu mno nililia kama mtoto mdogo.

Hivi sasa nataka kujinasua nimeona naelekea kubaya, maana wife ameona mwenendo wangu umebadilika kwa hiii miezi mitatu ingawa mzee hana habari. Ila binti ndo amekua msumbufu hataki tufike mwisho. Mimi conscious ndo inanishtaki hasa kwa wife.Hata kwenda kwenye ibada nimeacha kwenda ikifika jumapili natafuta kisingizio chochote ili nisiende kwa sababu naona nafanya kazi bure kwa dhambi ya uzinzi na pombe ambavyo vyote nilikua sivifanyi kabla. Nimekuja kwenu mnisaidie nawezaje kuacha. Maana hata mzee akijua itakua balaa maana alishasema anataka kumuoa bomani.

Help please
yahelekea wewe ni mpagani, maana kama wewe ungekuwa mcha MUNGU basi ungejua kwamba kulala na mwanamke ambaye baba yako ana mahusiano naye ni LAANA​ ambayo itatafuna ukoo wenu mzima,
 
uko Kama baba yako mkuu huwezi kuchange wewe.

Kaendeleze tabia ya ukoo tuu
 
Kama wewe unaifahamu biblia, bila shaka unatambua kuwa dunia ya sasa haiishi nyakati ulizozitaja...

Hivyo usiitumie wala usitumie maandiko isivyopaswa...

kama nakumbuka vizuri uliuliza ni bible ipi inayohalalisha mchepuko kuwa mke. Nilipokupa mfano wa yakobo na reuben na msichana wao wa kazi ni katika kuonyesha kuwa mwanamke yeyote awe mchepuko, suria au chochote..maadam baba yako ameshafunua uchi wake basi si vizuri mtoto nae kufunua. Mtu kutumia neno mke kumaanisha mchepuko hakuondoi dhana ya mtoto na baba kutokushea mwanamke. Dhana itabaki pale pale. kama baba amemuita mchepuko "mama mdogo" wa mwanae basi huyo mwanamke ana hadhi hiyo kwa wahusika. Kwa hiyo biblia nimeitumia ipasavyo kama si kama kitabu kitakatifu basi kama kitabu cha historia ya visa vya kweli ambavyo tunaweza kujihusianisha kwacho. Hata kama nyakati na jamii ni tofauti binadamu ni yule yule jana, leo na kesho.
 
If you read the whole thread, sijatukana, ila umekuja na kuanza kuita watu wanawake mara wataolewa mara blah blah

And its not i cant bad mouth you... its just a waste to do that

counting 59 people who commented, well this is funny... show me the substance

Well, am withdrawing my abusive language, I do apologize
Kauli yangu ni kuwa Kama umeona thread ya mtu ni ya uongo basi fanya uungwana tu kwa kupita maana kuna mwingine ameiona ni ya kweli na akachukua muda wake kushauri
Ukikuta watu 50, 130++ wapo busy kumshauri mtoa mada then anatokea MTU anasema ni ya uongo hata mtoa mada hujisikia vibaya

Thread imetazamwa na watu 4000 wachangiaji labda 70 maana yake ni kuwa kuna maelfu ya wans jf wame view Uzi na kuona ni Wa uongo na kupita tu
Hatupo 100% certain kama Uzi Wa mtu ni Wa uongo anajua yy mtoa mada mwenyewe

Janjaweed kumwambia mtu Uzi wako ni fiksi ni provacation
Hakuna tofauti na mm niliekutusi
Sipingani nawe ila tuwe objective katika conclusion zetu
 
Well, am withdrawing my abusive language, I do apologize
Kauli yangu ni kuwa Kama umeona thread ya mtu ni ya uongo basi fanya uungwana tu kwa kupita maana kuna mwingine ameiona ni ya kweli na akachukua muda wake kushauri
Ukikuta watu 50, 130++ wapo busy kumshauri mtoa mada then anatokea MTU anasema ni ya uongo hata mtoa mada hujisikia vibaya

Thread imetazamwa na watu 4000 wachangiaji labda 70 maana yake ni kuwa kuna maelfu ya wans jf wame view Uzi na kuona ni Wa uongo na kupita tu
Hatupo 100% certain kama Uzi Wa mtu ni Wa uongo anajua yy mtoa mada mwenyewe

Janjaweed kumwambia mtu Uzi wako ni fiksi ni provacation
Hakuna tofauti na mm niliekutusi
Sipingani nawe ila tuwe objective katika conclusion zetu

mleta mada anaitwa bileku mpasi ... wewe provocation imekuhusu vipi
 
Last edited by a moderator:
mleta mada anaitwa bileku mpasi ... wewe provocation imekuhusu vipi

Nimesema umeni provoke mm??
Read my statement again
Kwangu mm hii tabia sio nzuri
Na ndio maana naikemea maana sasa hivi kuna tabia imeibuka kila post ikirushwa mtu from nowhere anasema ni ya uongo
Maana yake ni kusema kuwa sisi wachangiaji ni wajinga hatukuona uongo huo
 
Last edited by a moderator:
Nimesema umeni provoke mm??
Read my statement again
Kwangu mm hii tabia sio nzuri
Na ndio maana naikemea maana sasa hivi kuna tabia imeibuka kila post ikirushwa mtu from nowhere anasema ni ya uongo
Maana yake ni kusema kuwa sisi wachangiaji ni wajinga hatukuona uongo huo
soma post yangu, nimeuliza provocation IMEKUHUSU vipi
 
dingi yako sasa anajuta kuhama nyumbn na kuingia kwa uyo mchepuko ambaye ana HIV+, na ww ndyo unadhan umepata? wote mmeuvaa, na wala hamtawaambukiza wake zenu ktk Jina La Yesu Kristo, Kwan Neno La Mungu Linasema "roho Itendayo Dhambi Ndiyo Itakayokufa"
 
soma post yangu, nimeuliza provocation IMEKUHUSU vipi

Kwani mjadala hapa jukwaani ni binafsi?
Ndio maana post inaletwa jukwaani, unauliza jibu?
Kama nimeguswa nachangia
Kama nimeona unapotosha lazima niseme
Ndio interaction yenyewe hiyo
Kuna mtu amekwambia hukusoma vizuri post mbona hukumuuliza anahusika vipi?
Get the masage
 
Mwambie baba yako ukweli,kuwa mtoto mtamu.atakuelewa
 
Umeona mama yako alivoumizwa na baba yk mpaka anaumwa so na wewe unamumiza mkeo kwa ujinga Ule Ule aliofanya baba yako. Pyuuuuuuuu
 
Wakuu ,

Nimekamatwa katikati ya penzi zito la mchepuko wa dingi yangu, Ipo hivi mimi nimeoa kwa miaka miwili sasa naishi Mwanza
wazazi wangu pia wanaishi hapa hapa Mwanza kwa takribani mwaka na kitu. Wamekua kwenye mgogoro mzito sana kuhusu huo mchepuko ambapo mzee kwa sasa anarudi home once in a week, siku zilizobaki zote analala kwa huo mchepuko ambao ameupangisha nyumba ya gharama kubwa na thamani za ndani pia.

Kwa kweli kachanganyikiwa vibaya juu ya huo mchepuko yaani ingekua bado tuna mhitaji kifedha labda bado tupo shule na kadhalika sieleewi ingekuaje. Cha kushukuru mungu wote tunafamilia zetu sasa hivi juzi kati kama miezi mitatu hivi dingi aliniuliza hivi ni lini utamfahamu mama yako mdogo maana wewe ndio mtoto wangu pekee wa kiume, nikamwambia mzee ni wewe tu, ukiwa tayari nipeleke dada zangu wote waligombana na mzee hivyo hawaongei kisa ni ugomvi wa wazazi kuhusu huo mchepuko hadi mama alipata ugonjwa wa hypertension juu ya huo mchepuko.

Nikapelekwa kuuona huo mchepuko, ila yy mwenyewe anatumia jina mama mdogo, kufika pale mtoto ni mkali sijaona, ni mweupeee utadhani Mwarabu, kiuno chembamba halafu wowowo hilo, kapiga kigauni hicho paja zote nje nikaambiwa mwamkie mamdogo huku umri anaonekana kulingana na mdogo wetu wa mwisho ambae pia ameolewa. Akamwambia binti hili ndo jembe langu peaneni namba za simu maana ikitokea nimeanguka huku huyu ndo unampigia simu kumtaarifu maana mzee ana medical condition flani hivi anaishi kwa masharti.

Mara kwa mara tumekua na mawasiliano na yule binti kwa mambo mbali mbali nimezoea kwenda pale hata kama Mzee hayupo kumsalimia, maana binti hulaumu mbona huji hata kunitembelea n.k. One day Mmee alikua nje ya Mwanza akanitumia list ya vitu nivinunue nimpelekee yule binti huwa hataki kabisa atoke. Nilipofika akatoa pombe kali akanipa yeye akawa anakunywa Dompo sikuwahi kunywa pombe kabla. Muda ulivyozidi kwenda tukaanza michezo ya kilevi, mara kuvutana na kadhalika kuja kustuka tupo dunia nyingine.

Nilishangaa ananivua nguo kama ugomvi vile mwisho tukawa tumeoana kwenye kochi pale.Nikiri tu wazi tangu kufahamu mapenzi mazito kama yale, kiuno kinazungushwa huwezi kama pana mfupa pale. Tuliendelea kufanya mchezo huo mara kwa mara, wakati mwingine natoroka kazini mchana naenda.Kwa kweli hata mke wangu anaachwa mbali sana na huyu binti kwa mambo hayo. Hata kabaang ambayo sikuwahi kufanya ndo nilipata for first time ni tamu mno nililia kama mtoto mdogo.

Hivi sasa nataka kujinasua nimeona naelekea kubaya, maana wife ameona mwenendo wangu umebadilika kwa hiii miezi mitatu ingawa mzee hana habari. Ila binti ndo amekua msumbufu hataki tufike mwisho. Mimi conscious ndo inanishtaki hasa kwa wife.Hata kwenda kwenye ibada nimeacha kwenda ikifika jumapili natafuta kisingizio chochote ili nisiende kwa sababu naona nafanya kazi bure kwa dhambi ya uzinzi na pombe ambavyo vyote nilikua sivifanyi kabla. Nimekuja kwenu mnisaidie nawezaje kuacha. Maana hata mzee akijua itakua balaa maana alishasema anataka kumuoa bomani.

Help please

Nenda kanisani ukatubu kisha uache kabisa!!! Timbwili la baba cha mtoto
usiombe ungalianzisha timbwili na Mungu!!
 
we umeshindwa, baba kashindwa, mama kashindwa, mkeo kashindwa, Mungu hakutaki tena, Shetani naye anakuona siyo, lahaulaaaaaaaa sisi tuseme nini juu yako sheikh, labda uendelee tu mpaka utakapoweza mwenyewe, yani upo mwenyewe kwa sasa

ww wapi kakuambia yy ni sheikh.Huyo kwa mujibu wa maelezo yake ni ASKOFU au PADRE km unalengo la kuoanisha!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom