Nimelamba mchepuko wa dingi, hautaki tuachane

Nimelamba mchepuko wa dingi, hautaki tuachane

Ndio tatizo la kuanza haya mambo ukubwani
 
Yaani naona matendo ya kidiabolic tu. Kama vile ndoa ya mzee wako ilivyokufa na ndivyo yako itakavyokufa. Huyo ni shetani ambaye kazi yake ni ku steal kill and destroy na huyo mwanamke ni agent wake.
Poor you, only Jesus can save you
 
Kuna wale wana Yakobo nadhani first born wake(kama sikosei Reuben) alikosa haki ya uzaliwa wa kwanza kwa dhambi ya kulala na house-girl wa nyumbani kwao. Ikumbukwe kuwa kwa tamaduni za kale za kiyahudi house-girl ni kama mke wa baba yako, kwahiyo automatically huruhusiwi kulala naye kabisa hata you are 100% sure baba yako hayuko naye kimwili!

Kwahiyo, haki ya uzaliwa wa kwanza ikaenda kwa Yusuph. Ila haki ya uzaliwa wa kwanza kiroho aliichukua Yuda. Bro, kwa maelezo haya tarajia laana juu yako na kizazi chako chote!
sijui biblia inasemaje katika hili...lakini najua kuwa alalae na baba yako ni mama yako pia!
 
Kama unasoma biblia vizuri...basi utaonaa adhabu yako ni ipii ila ni kali sanaa... nenda katubu na uache huo ushenzi wewe na baba yako mnafanana...na mwanao wa kiume ataweza kuja kua ivo...maana Mungu uwapatilizaa wana maovu ya baba zao hata kazazi cha nne... kazi ni kwako mkuu
 
ww wapi kakuambia yy ni sheikh.Huyo kwa mujibu wa maelezo yake ni ASKOFU au PADRE km unalengo la kuoanisha!!!!!!!

Sheikh ni daraja ktk usomi wa dini kwenye Uislam ila kwa hapa town umekuwa kama msemo flani hv katika kunogesha maneno, nadhani jamaa amemaanisha hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom