Karma is a bitch......ukiingia deep unaweza kuta we unaendeleza alicho fanya baba yako kwa baba yake yaani babu yako, na si ajabu mwanao nae atakuja fanya hivyo hivyo kwako. Mnatengeneza kizazi cha wala mama zao.
....hahahaha waiter ongeza bia kuna ubuyu wa viungo huku.
we umeshindwa, baba kashindwa, mama kashindwa, mkeo kashindwa, Mungu hakutaki tena, Shetani naye anakuona siyo, lahaulaaaaaaaa sisi tuseme nini juu yako sheikh, labda uendelee tu mpaka utakapoweza mwenyewe, yani upo mwenyewe kwa sasa
we na dingi yako mwende angaza hahaha maana huyu bint anaelekea anapigwa miti hovhohovyo pole sana.na umuombe mkeo msamaha na ukute unamtoto ananyonya naye unamuua kwakwel.
ndo maana mwenzenu nimeamua kuwaacha wanaume unajituliza home jianaume linakuletea ukimwi jamani anazurura huko wee halaf MWisho anaanza kuhara na we mae ndo wa kumbadilisha nepi shetan kabisa
Post yako ya kwanza humu jf kuwa umekula mchepuko wa dinig na hadi kabaaaang umepewa...najaribu kufikiria utakofikisha post yako ya kumi itakuwa ni ipi..labda kuliwa kabaaang
Kaka inaelekea una vitu atare mana mpaka ataki muachane
We endelea kupiga tu aina noma wala nn kwanz uo mchpuko tu sio mama ako
So usiogp kaaka we mega kisela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.