MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Majaribu ya kujitakia nani anataka? Baadae tumsingizie shetanisema wewe!




mrejesho tafadhali, ilikuaje siku zilizofuataNi mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.
Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.
Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.
Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.
Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.
Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.
Boyfriend anaeishi mamtoni na girlfriend yupo bongo hajawahi kumuacha girlfriend salama!mmh moyo sukuma damu



Kampuni not wizaraMko nchi gani? usipojali mnatoka wizara gani?
Ndoa bado zipo hatarini hata wasipodate,KULALA CHUMBA KIMOJA,KITANDA KIMOJA,SHUKA MOJA halaf wanandoa je wenza wao wakisikia au wakijua kuna amani hapo?Kama umeweza siku moja utashindwaje siku ya pili, tatu, nne na hatimaye tano? ila take from me hata ukiamua kuchukua chumba kingine kukwepa haya, mukirudi bongo atasambaza story kwamba wewe ni kimeo wala siyo riziki. Mi nadhani ungeangalia namna ya kutunza hiyo heshma yako kwa kumpiga mashine. Kwasababu mpaka sasa umeshusha sana heshma yako kwa ghalama ya ku-save
Bwashee mkanda uliishaje?Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.
Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke
Ee mungu nipe ujasiri.
Shida iko wapi muhenga mwenza!Seriously?
Mkuu inawezekana sana, kusex kama ajali ni ushamba, inapendeza ukikontro hisia zakoHii story kumbe imetoka humu niliyosikia kwenye ara za roho ya clouds fm..ila watu waongo jaman..kwa kutunza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisa cha miaka mingi sana mkuuOH, UNAWAPA PRESHA WALIOOA AMBAO WAKE ZAO WANAENDA SEMINA..
MKUU, HUYO NI MKE WA MWANAUME MWENZIO, NAKUSHAURI UCHUKUE CHUMBA KINGINE
KWA MKUMBATIO HUO LEO LAZIMA UTAINGIA MTEGON MAANA HALI YA HEWA YA ASUBUH SYO NZURI KUKWEPA KITANZ CHA UZINZI..
Nimejikuta nawaza bf wangu ninavyomuheshimu najinyima kwa ajiri yake kweli kama anafanya hayo yako he will never be happy.
Plz staki kuja kuona mrejesho eti shetani kakupitia bar.
Usipomvutia atambaka etihhahhha olalalaa! labda mie awe mbabu nitalala....
