Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.

Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.

Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.

Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.

Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.

Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.

Manuu kapime Kisukari, hakyanani sio mzima wewe.... yaaani mimi kusoma tu hii story mzee kasimama balaa.. mpaka naumia.
 
Hahahaaaa pole sana brotha, hayo yalishanitokea tena mbali mno (USA) na ilikuwa wiki 2, lakini kwa double tena kubwa mno.Mi niliweza kuvumilia kwa hali ya double ila kwa wewe humalizi siku tano kwa single hio mnayoishi.Mi nakushauri kwanza uwe wa mwisho kulala na ulale nae mzungu wa nne na jitahidi usipate mvinyo, ukipata/mkipata mvinyo basi itakuwa balaaa.Pole kaka ila hapo ndoa lazima ichakachuliwe.

Sas mzungu wa nne si ndio mnapishanisha kabisa miguuu yenu ina-interlock
 
kikubwa toa mawazo yote yatakayoweza haribu ndoa yako...chukulia poa tu.mnaweza mkashinda vishawish ila yataka moyo sana:disapointed:
 
Hata vitabu vya Mungu vinasema kaaeni mbali na vishawishi. Sasa wewe unalala na kishawishi unategemea kukishinda. Ni ngumu mno..... Huyo dada anashindwa tu kukulazimisha kudo lakini kiukweli wewe unamtaka na yeye anakutaka sema kila mmoja anajifanya kama hataki vile. Usipo hama chumba leo unamkula huyo
 
Kama uliwahi kuhisi huyo dada hayuko salama kiafya, Hiyo mbona inawezekana!, Lakini siku tano kitanda kimoja!. Atakufanyia vibweka mpaka utasalimu amri. jiandae kuvunja amri saba za mungu. Nakushauri mkapime VVU kwanza na huyo dada kama unampenda mkeo. maana kwa maelezo yako inaonyesha huyo sister yupo tayari wewe usafishe nyota kwake.
 
inawezekana siku moja au mbili mlivyo zoeana na utani wenu ,nahili linatokana na kumjengea ujasili mtoto mdogo kumpeleka bording mpaka anakuja anzakazi mimi mwenye ishanitokea kabla ya kuoa nilitoloka na gf(mke sasa) tukaenda mji mwingine na tukalala kitanda kimoja na shuka moja kaniruhusu kumshika sehemu zote ispokua tunda la kati kesho yako namliza kulikoni umenitoa kote huko kanijibu anataka kunifahamu kwanza siku ya pili yale yale ,kwahiyo vumilia fuata kilicho wapeleka.
 
we mwehu kweli yaani shetani unamtafuta badala ya yeye kukutafuta. sidhani kama utashinda. maana inaonesha na wewe ulitaka hilo. fimbo ya karibu itaua nyoka
 
.
breaking_news_manuu.jpg


.
Wakuu,

Tulikuwa tunajiuliza mbona huyu jamaa haonekani kutupa updates za day 2!

Kumbe jamaa kakamatwa Dubai kwa kosa la kubaka ... wanadai alitaka kumbaka mfanyakazi mwenzake hotelini.


Source: CNN
hapo juu!


Haya mliokuwa mnamshauri mwenzenu vibaya .... nendeni mkamuwekee dhamana!
.

 
Unachokifanya ni kibaya zaidi , nunua kondomu piga mzigo kuliko ukwepa alfu mnatesana wote . Kama unampenda mke wako utamlinda tu kwa kondomu hapa la sivyo unahatarisha maisha yako na familia yako . DUNIA YAKO CHAGUO LAKO
 
Anakutega huyo, be careful, kama issue ni kusave nakushauri mchukue chumba cha double ambapo kuna vitanda viwili kila mtu alale kwa kitanda chake

Ni mfanyakazi mwenzangu tumeenda nchi jirani kwa semina ya siku 5.Tulivyofika tu wakati tunacheki hotel ambayo ni nzuri bei kidogo ipo juu ila kampuni wametupa pesa za kutosha sana,Sasa wakati tunajadiliana jinsi ya kufanya yule sister akasema, Kwa nini tusichukue chumba kimoja tukashare ili tusave hizi pesa? Nilijua ananitania lakini akasisitisha kwamba yupo serious.

Tukachukua chumba kimoja chenye kitanda kimoja tukazama ndani.Ile kuingia tu ndani yule sister akasema anataka kuoga sababu ya uchovu wa safari akjifunga taulo kavua nguo kazama bafuni.Picha nyingi sana zikanijia ifikapo usiku itakuwaje? Sababu yeye ni mke wa mtu na mimi nina mke home.

Nikajiapisha sintofanya chochote na huyu sister kwanza tunaeshimiana sana. Nmimi nikaenda kuoga baada ya yeye kutoka nilivyorudi nikakuta ashavaa nguo. Story story kidogo tukashuka chini tukaenda pata dinner mpaka kwenye saa 5 usiku tukarudi room.
Kufika tu yule sister kavua nguo zake hii sasa alivua mbele yangu akapiga night dressing kajitupa bed.

Na mimi nikajipa moyo nikavua nikapiga bukta nikazama bed.Tukapiga story mbili tatu huku tukiwa tumejifunikia shuka moja.
Mara usingizi ukanipitia kushtuka nimemkumbatia ile mbaya nikijua ni wife home kuchek na yeye kanikumbatia na kaweka mguu juu yangu.Ki ukweli hali ilikuwa ngumu sana mpaka mapigo ya moyo yalibadilika.

Ki ukweli usingizi ulikata nikawa nimemkumabatia mpaka asubuh. Palipokucha yaani yule sister hana time akazama zake bafuni katoka kapiga suti yake na mimi nikazama bafuni kutoka tukaelekea kwenye hotel inapofanylika semina.

Jamani hii ndio siku ya kwanza kweli niatweza maliza siku tano bila kuingiza ndoa yangu matatani kwa style hii kweli.
Ila nimeapa kutofanya chochote na huyu sister.
Ee mungu nipe ujasiri.
 
Leo nunua kondom kabisaa, zingatia ushauri wanga siku ya leo haipiti
 
bro! kwanza nikupongeze kwa kuumaliza usiku mmoja bila kufanya chochote, ili kimbia majaribu kwani hata biblia inasema tuyakimbie majaribu, angalia siku nne bado ni nyingi
 
Yani mmmebana matumizi kuingizana vishawishini???? mna lenu jambo, tena kitanda kimoja..Mtu yoyote mwenye heshima na nidhani na ndoa yake hawezi kufanya kitendo hiko..labda ingekuwa jinsia moja!!
Haya wee, malizieni mlichokianzisha mana mihemko imewajaa hapo kupita maelezo!!
 
kama kwel unampenda mkeo huwez kukubal kulala na mwanamke mwngne ucku kucha, mm nna wacwac na upendo wako kwa mkeo
 
Mhh Manuu kama una hofu ya Mungu ndani yako na unampenda mkeo achana na hii kitu,mwambie huyo dada wewe utashindwa kukaa naye chumba kimoja hivyo either mchukue chumba chenye double kama mnataka sana ku-save au kila mmoja awe na chumba chake.

Hiyo kitu itawashinda halafu iwe balaa bure. Huyo mwanamke atakuwa ana pepo la ngono.
ninachokiona hapa MANUU Hasemi ukweli huwezi kulala umemkumbatia mwanamke mpaka asubuhi laizma mshamaliza unatafuta watu wakusaidie kujibu kesi ukirudi?
 
Back
Top Bottom