stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
Mbona una haraka boss? Tulia andika vitu vya kuelewekaWEWE, hacha presha kbsa! hata ukiwa nao una miaka mingine ya kuisdhi, usksate tamaa, kamwone profesa j!
Ukimwi upo lakini ulivyoongea simple ni kama haupo! Hivi kuna watu wanafanya ngono zembe hadi leo?Ukimwi zamani bana sio siku hizi.kapime Mkuu ukikutwa nao muoe uyo binti.zingatieni tu ushauri toka angaza.mtatoboa sana tu.pole sana
Naandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana, mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji, na mwezi November mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa.
mkuu usijifanye kama upo smart sana,haya yamenikuta ila na wewe siku yako inakuja hasa kama una aamini ukiwa kwenye ndoa ndio utakuwa salama,nimekiri makosa yangu,lkn pia kuishi nae miaka 3 nilimaanisha kuwa nae kwenye mahusiano,sikuwa sawa kipindi naandika,nilipanga kuanza kuishi nae baada ya ndoa,naomba usinihukumu hasa kama bado upo hai,lolote nawe laweza kukutokea,tena huwenda likawa baya zaidi ya hili la kwangu,kinachonipa moyo ni kwamba wiki tatu zimepita kuna mdogo wa rafiki yangu nilimtolea damu,na nahisi hadi wakaniruhusu nitoe inamaanisha ilikuwa salama,kesho ndio siku ambayo tajua mbivu na mbichi,nahisi kwa sasa nahitaji faraja zaidi na si kejeri,hii ishu haina mwenyewe,tuombe uzima kesho nitarejesha nitakachotoka nacho maabara...all in all nimefarijika sana kwa wana JF wengi kwa kuwa watu dynamic,mnajua jambo la utani na jambo ambalo ni serious,imenipa moyo sana na narudia kushukuru kwa wote mliooonyeshwa kuguswa na tatizo langu,ki`zaidi mlionifuata PM na kunipa msaada wa mawazo na kila kitu...
huyo ni mke anakupenda mungu si jpm unaweza ishi hata sisi tutakao changia tukafa kwa vyengine.kuwa na amaniNaandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana, mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji, na mwezi November mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa.
Ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika, nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao.
Nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni, anasema na yeye alikuwa hajui, kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu, mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo, hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?
Kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke, tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe.
Nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa, bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili, nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu, nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko.
Ahsanteni
mkuu nilitoka mzima kabisa,salama salmini...hauwezi kuamini lkn ukweli ndio huo,kazi kwako sasa,ushawahi kupima?Ila lubede nikuchane tu, kwa kipind cha miaka mitatu alafu uyo demu alizaliwa nao, aisee apo hautoboi yan unachokifanya kwenda kuprov kama ngoma unayo
Yan ukiluka iko kiunzi cha ngoma, bas ww utakua shujaa wa kipekee kuwai kutokea
[HASHTAG]#ferouz[/HASHTAG] ft prof j ukimwi
[HASHTAG]#kosa[/HASHTAG] la marehem hakuvaa condom
Rest in peace(sio ya kufa)
Hahahaha hongera kwa kutoboamkuu nilitoka mzima kabisa,salama salmini...hauwezi kuamini lkn ukweli ndio huo,kazi kwako sasa,ushawahi kupima?