Hongera kwa kuendelea kuwa Ngangali. Hongera sana.
Mi mwenyewe nishapiga watatu wenye Ngoma, mimi sinao. Nshapima mara kadhaa, SINAO. So, sio lazima, kupiga huyo na wewe ukaupata. Be courageous.
Kwa taarifa yako, magonwa kama kansa, tb, pressure, malaria,kisukari ni hatari zaidi ya UKIMWI. Kwa mwenye UKIMWI akizingatia masharti ya wataalamu, unaishi muda mrefu kuliko asiye na UKIMWI. So, hautishi siku hizi.
Pima, kubali majibu, zingatia ushauri wa mtaalamu wa afya. Utaishi muda mrefu mpaka utashangaa.
Wakati mwingine naona kama vile umejitakia. Cheki hapa:-
Wanawake weusi na utamu wao