Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,703
- 36,150
Habari?
Mimi ni baba wa watoto 2 na mke mmoja.
Jumla home kwangu sasa tuko watu 7, wakubwa hasa ni Mimi na wife tu wengine ni watoto wadogo wa primary na kindergarten na wengine ni wadogo zaidi.
Ratiba yangu ni kazini- nyumbani, nyumbani- kazini. Ila muda mwingi niko nyumbani. Napiga stori na watu tukikutana kazini basi nikiondoka kazini mchezo umeisha.
Sina rafiki wa ku share naye mambo ya maisha au hata kufanya naye tour za hapa na pale.
Nilipokuwa na usafiri kidogo nilikuwa napata muda kuzunguka na watoto sehemu za karibu na nyumbani, nikiwanunulia chips na vikorokoro vingine tunarudi home. Sasa hivi sina usafiri. Mimi muda wote naishia ndani.
Siku nyingine naishia kutoka nje ya geti na kuchungulia nje mara Moja basi.
Au nitatoka kulishia kuku na kuangalia mayai bandani naingia ndani siku itapita.
Muda mwingine natoka nje na kuzunguka nyumba ili kuhakikisha usalama wa nyumba na familia, asije mtu akatupia maiti nyumbani kwangu kisha kunitia mtegoni.
According to my work kwa wiki kazini nakwenda mara 3 au 4 tu na nikienda naingia masaa 12. Hivyo muda mwingi niko nyumbani.
Sina rafiki kazini wala mtaani.
Ninapofanya kazi kwenda Kariakoo hata kwa mguu ukiamua unaweza kwenda lakini ni mwaka sasa sijakanyaga Kariakoo.
Wanangu na wanafamilia yangu ndo hugeuka kuwa marafiki zangu.
Naweza kuchangia hharusi ila siwezi kwenda ukumbini. Nilikwenda hharusi moja tu kwakuwa nilikuwa best man wa bwana hharusi.
Hata mke wangu tulifunga ndoa kwa DC Ilala mashahidi tuliwapata hukohuko.
Kwa ufupi Mimi sipendi sherehe, naona kama zinanitilia makelele tu.
Wengine wanataka kuwa karibu na Mimi lakini Mimi nakuwa mzito kuwa karibu nao.
Nawaza hapa sasa nina 36, hii hali ya kukaa nyumba haitaniathiri?
Maana napenda kulalia mgongo muda wote, hii tabia ya kupenda kulalia mgongo nimeianza nikiwa school miaka zaidi ya 10 imepita.
Hata kazini kiti lazima nikilalie ndo nasikia mdadi.
Au nikipata pesa tabadilika?
Maana kujifungia sometimes nahisi ni ukata labda.
Mimi ni baba wa watoto 2 na mke mmoja.
Jumla home kwangu sasa tuko watu 7, wakubwa hasa ni Mimi na wife tu wengine ni watoto wadogo wa primary na kindergarten na wengine ni wadogo zaidi.
Ratiba yangu ni kazini- nyumbani, nyumbani- kazini. Ila muda mwingi niko nyumbani. Napiga stori na watu tukikutana kazini basi nikiondoka kazini mchezo umeisha.
Sina rafiki wa ku share naye mambo ya maisha au hata kufanya naye tour za hapa na pale.
Nilipokuwa na usafiri kidogo nilikuwa napata muda kuzunguka na watoto sehemu za karibu na nyumbani, nikiwanunulia chips na vikorokoro vingine tunarudi home. Sasa hivi sina usafiri. Mimi muda wote naishia ndani.
Siku nyingine naishia kutoka nje ya geti na kuchungulia nje mara Moja basi.
Au nitatoka kulishia kuku na kuangalia mayai bandani naingia ndani siku itapita.
Muda mwingine natoka nje na kuzunguka nyumba ili kuhakikisha usalama wa nyumba na familia, asije mtu akatupia maiti nyumbani kwangu kisha kunitia mtegoni.
According to my work kwa wiki kazini nakwenda mara 3 au 4 tu na nikienda naingia masaa 12. Hivyo muda mwingi niko nyumbani.
Sina rafiki kazini wala mtaani.
Ninapofanya kazi kwenda Kariakoo hata kwa mguu ukiamua unaweza kwenda lakini ni mwaka sasa sijakanyaga Kariakoo.
Wanangu na wanafamilia yangu ndo hugeuka kuwa marafiki zangu.
Naweza kuchangia hharusi ila siwezi kwenda ukumbini. Nilikwenda hharusi moja tu kwakuwa nilikuwa best man wa bwana hharusi.
Hata mke wangu tulifunga ndoa kwa DC Ilala mashahidi tuliwapata hukohuko.
Kwa ufupi Mimi sipendi sherehe, naona kama zinanitilia makelele tu.
Wengine wanataka kuwa karibu na Mimi lakini Mimi nakuwa mzito kuwa karibu nao.
Nawaza hapa sasa nina 36, hii hali ya kukaa nyumba haitaniathiri?
Maana napenda kulalia mgongo muda wote, hii tabia ya kupenda kulalia mgongo nimeianza nikiwa school miaka zaidi ya 10 imepita.
Hata kazini kiti lazima nikilalie ndo nasikia mdadi.
Au nikipata pesa tabadilika?
Maana kujifungia sometimes nahisi ni ukata labda.