Zehoes
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 512
- 352
BCCMmmh! One Point 8 umekosa? Kuna walakini hapo? Masomo ulipataje kwenye hiyo PCB?
Kingine; itakuwa ulichagua Vyuo Vichache, au watu wengi mlikimbilia kuomba Vyuo the same.
BCCMmmh! One Point 8 umekosa? Kuna walakini hapo? Masomo ulipataje kwenye hiyo PCB?
Kingine; itakuwa ulichagua Vyuo Vichache, au watu wengi mlikimbilia kuomba Vyuo the same.
Hapo sawa!Nilimaanisha "Kozi alizoomba"
Sijajua tatizo ni nini? Ila mbona huo ufaulu ni mkubwa sana!
RadiographySijajua tatizo ni nini? Ila mbona huo ufaulu ni mkubwa sana!![]()
Au hayo matokeo sio ya Mwaka uliopita? Au au?!??!?! I don know.
Siku nyingine kuna Kozi nzuri za huo Ufaulu kama Pharmacy, Medical Laboratory, Nursing, Medicine, Dental
Na vyuo vipo UDOM,MUHAS,BUGANDO,Sain John, Moshi kule,
Sio kweli kwamba mkopo wanapewa wale wa first round,Nijuavyo mimi deadline ya kuconfirm na kuwa considered kupata mkopo ilikuwa kwenye 1st round tarehe 10 October sina uhakika kama kuconfirm sasa hivi utapata mkopo
Ningekushauri uende chuo pendwa UD kuna faida nyingi kule i.e. MUCE
Jomba ulikua na division ngapi?Hahahaha mi nimetemwa MD pote...
nimepata UDSM pale Bachelor of science in molecular biology and biotechnology
one points 8Jomba ulikua na division ngapi?
Dah,nina mdogo wangu anahaha,1.9one points 8
kapata wapi yeyeDah,nina mdogo wangu anahaha,1.9
Kakosa kotekapata wapi yeye
Aliomba MD ama?Kakosa kote
Yes,2nd round akaomba Molecular biology katoswaAliomba MD ama?
Aombe tu UDSM hizo kozi za viumbe atapataKakosa kote