Nimekuwa admitted vyuo vinne niende wapi?

Nimekuwa admitted vyuo vinne niende wapi?

Huu ndo upumbavu wa serikali ya awamu hii,

Kuna umuhimu gani kuondoa mfumo ulipita na kuleta huu wa kijinga?

Ona sasa kuna watu wamekosa vyuo na wana sifa stahiki,

Hapa mkuu ka-hold position za watu watatu zaidi


Na kuna watu wengi tu kama yeye wana position zaidi ya moja

Haya mwisho wa siku unatokea mkanganyiko na mambo hayaendo watu wanabaki home vyuo vinakosa nafasi

Huu ni Uzwazwa
Mkuu si kwa povu ili nimecheka mno kwa kweli imechosha vijana na wazazi
 
Niende wapi? naombeni ushauri. nimechaguliwa vyuo vinne nmesoma science PCB 1.bachelor of education in special needs>UDOM 2.bachelor of education in science>MUCE 3.bachelor of science with education>st John 4.bachelor of education in science>Mwenge wadau wananiambie et special needs ni nzuri ila Nina wasiwasi kkuhusu mkopo kwasababu hiyo kozi ni non priority! ila zote mm nazipenda! niende wapi jamani na kuhusu changamoto za ajira.
Nimetafuta sana,sioni chuo hapo,kuna whatever university.
 
Niende wapi? naombeni ushauri. nimechaguliwa vyuo vinne nmesoma science PCB 1.bachelor of education in special needs>UDOM 2.bachelor of education in science>MUCE 3.bachelor of science with education>st John 4.bachelor of education in science>Mwenge wadau wananiambie et special needs ni nzuri ila Nina wasiwasi kkuhusu mkopo kwasababu hiyo kozi ni non priority! ila zote mm nazipenda! niende wapi jamani na kuhusu changamoto za ajira.
Omba upya bado hujapata chuo
 
Nenda muce ndg, pale kwanza pako shwari hata mazingira yake, and kwa upande wa hiyo course pia ni nzuri sana,
Jiandae kukutana na kina dr.kita
Dr.mbepera
Dr.mulungu

Na wengineo.
Kila la kheri ktk BSc.ed
 
Sio kila PCB anaweza kwenda MD

Umesoma qualifications za saizi?

Unajua kuna PCB wangapi wanataka hiyo MD?

Unajua capacity iliyokuwepo?

Kiufupi course capacity ilishushwa sana hivyo competition ikawa kubwa, yaani kama huna ONE ukaomba MD ingekula kwako kwa sababu science wengi wanalazimishwa kusoma education hasa ya kemia.
Ukiangalia waliokosa admission first round asilimia kubwa ni science ambao hawakuomba education, yaani waliomba afya and the like.
Mkuu hata wenye ONE tumekiona cha Moto ....ushindani mkubwa mno....

can't you imagine division 1 point 8 nimekosa....
 
Mkuu si kwa povu ili nimecheka mno kwa kweli imechosha vijana na wazazi
Mkuu huu kama sio ujinga ni nini haya huyu hapa amepata vyuo zaidi ya kimoja bora hata ingekuwa viwili vinne?

Halafu course zote kama zinafanana hivi

Upande wa pili kuna mti kakosa nafasi na ana sifa sasa maana ya huu mfumo wa kipumbavu ni nn
 
Wakuu na mm nsaidieni..Human Nutrition SUA Vs Urban and regional planning SUA
 
Nenda muce ndg, pale kwanza pako shwari hata mazingira yake, and kwa upande wa hiyo course pia ni nzuri sana,
Jiandae kukutana na kina dr.kita
Dr.mbepera
Dr.mulungu

Na wengineo.
Kila la kheri ktk BSc.ed
hahaha mulungu wa ds mara paaap
 
Kuna ndugu yangu kachaguliwa LLB UDOM na SAUT pia LLB ushauri wenu unahitajika aende wapi?
 
Jaman msaada nimechaguliwa mzumbe laws second round ilihali sikuomba second round, kwakua first round nilichaguliwa chuo kmoja tu Mum, sasa sijui nifanyaje jaman
 
Back
Top Bottom