encyclopaedia Tanzaree
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 513
- 397
Wanataka muombe education!Mkuu hata wenye ONE tumekiona cha Moto ....ushindani mkubwa mno....
can't you imagine division 1 point 8 nimekosa....
Wanataka muombe education!Mkuu hata wenye ONE tumekiona cha Moto ....ushindani mkubwa mno....
can't you imagine division 1 point 8 nimekosa....
Kwa kweli ni hatari naona dalili ya Fourth round itakuwepo maana bado multiple selection zitajitokeza tenaMkuu huu kama sio ujinga ni nini haya huyu hapa amepata vyuo zaidi ya kimoja bora hata ingekuwa viwili vinne?
Halafu course zote kama zinafanana hivi
Upande wa pili kuna mti kakosa nafasi na ana sifa sasa maana ya huu mfumo wa kipumbavu ni nn
Mi nimekimbilia UDSMWanataka muombe education!
Education si ndioMi nimekimbilia UDSM
Hapana... Nimepata Bachelor of science in molecular biology and biotechnology.... Unaifaham hii kozi ?Education si ndio
inahusiana na uhusiano uliopo kati ya RNA, DNA na protein ndani ya cellsHapana... Nimepata Bachelor of science in molecular biology and biotechnology.... Unaifaham hii kozi ?
Hilo nilikuwa nalifahamuinahusiana na uhusiano uliopo kati ya RNA, DNA na protein ndani ya cells
Mimi sisomi hiyo course kwakweli ila weka kichwani kwamba katika suala la kujiajiri ni vizuri kujiajiri katika fani uliyosomea lakini siyo lazima!Hilo nilikuwa nalifahamu
Umeniongezea maarifa asanteh...
Ajira zake ni kama zipi? Kujiajiri inawezekana kweli? ...ama ndiyo nitasubiri sana baada ya kuhitimu
THUMBUPMimi sisomi hiyo course kwakweli ila weka kichwani kwamba katika suala la kujiajiri ni vizuri kujiajiri katika fani uliyosomea lakini siyo lazima!
Kuna watu wamesoma Law na wamejiajiri kwenye kilimo
Tafuta Prospectus ya UDSM soma kila kitu kinachohusiana na kozi yako, hasa kipengele cha expected learning outcomes (module objectives) za kila module then utajua ni sehemu gani utakuwa unafiti na koz yako
.....Kama ni PCB kwanini hakuchukua Doctor of medicine Udom or MUHAS?!
Ingawa ni History;Niende wapi? naombeni ushauri. nimechaguliwa vyuo vinne nmesoma science PCB 1.bachelor of education in special needs>UDOM 2.bachelor of education in science>MUCE 3.bachelor of science with education>st John 4.bachelor of education in science>Mwenge wadau wananiambie et special needs ni nzuri ila Nina wasiwasi kkuhusu mkopo kwasababu hiyo kozi ni non priority! ila zote mm nazipenda! niende wapi jamani na kuhusu changamoto za ajira.
Hahahaha mi nimetemwa MD pote...
nimepata UDSM pale Bachelor of science in molecular biology and biotechnology
True that.Hiyo special needs inahusu wanafunzi kwenye mahitaji maalumu, (with disabilities)
Umesoma PCB, Nakushauri kozi nzuri for your own future ni Bsc.With Education.
Wala usiangalie Chuo, huku mtaani No body cares.
Ulishawahi ona wapi mtu anaomba(ana apply) faculty?Ingawa ni History;
Naomba nikuulize; Hizo Faculty ndo ulizooomba kwa kutuma maombi kwa chuo Husika kwa ridhaa yako mwenyewe...?
Ulipata Division gani...?
Lastly; Nenda Bachelor of Science with Education.
Mmmh! One Point 8 umekosa? Kuna walakini hapo? Masomo ulipataje kwenye hiyo PCB?Mkuu hata wenye ONE tumekiona cha Moto ....ushindani mkubwa mno....
can't you imagine division 1 point 8 nimekosa....
Nilimaanisha "Kozi alizoomba"Ulishawahi ona wapi mtu anaomba(ana apply) faculty?