Nimekuta mke wangu ana mimba ya mwingine

Nimekuta mke wangu ana mimba ya mwingine

Sikuwepo mkoani kwa miezi kadhaa, nimerudi Jana usiku nimekuta mke wangu ana mimba ya kama miezi mitatu, kumbuka sijakuwepo for more than six month.
Sitaki kumuuliza lolote kwa sasa

Piga dochi huyo mkeo tena fasta, atakusakizia na kuja kulea mtoto wa kibaka kisha majanga ya kumrekebisha huyo mtoto upate wewe. Usipende kulea mtoto wa mwenzako kwani kuna uwezekano kuwa baba wa huyo mtoto anaweza kuwa mwizi aliyeshindikana au kibaka. Kwa kuwa mkeo alikuwa anapewa hela za matumizi na huyo jamaa akahamua kuchapwa kavu kavu bila woga wa magonjwa ya maambukizi, meaning kwamba anamuamini huyo jamaa kuliko wewe au kama wewe. Kwa kifupi, una share mboo na mwanaume mwenzako na kama kampa mkeo gonjwa basi hilo gonjwa linakusubiri wewe ulivae na jamaa huko aliko anakucheka kwa kukuona msenge kukuchapia mkeo huku akisubiri umlee mtoto wake. Mtoto akizaliwa salama, Mama (mkeo) atachepuka kumpelekea jamaa (mume mwenzio) amuone mwanawe. Mkuu, usijiumize....piga chini huyo mkeo she's NOT trustworthy.
 
Piga dochi huyo mkeo tena fasta, atakusakizia na kuja kulea mtoto wa kibaka kisha majanga ya kumrekebisha huyo mtoto upate wewe. Usipende kulea mtoto wa mwenzako kwani kuna uwezekano kuwa baba wa huyo mtoto anaweza kuwa mwizi aliyeshindikana au kibaka. Kwa kuwa mkeo alikuwa anapewa hela za matumizi na huyo jamaa akahamua kuchapwa kavu kavu bila woga wa magonjwa ya maambukizi, meaning kwamba anamuamini huyo jamaa kuliko wewe au kama wewe. Kwa kifupi, una share mboo na mwanaume mwenzako na kama kampa mkeo gonjwa basi hilo gonjwa linakusubiri wewe ulivae na jamaa huko aliko anakucheka kwa kukuona ****** kukuchapia mkeo huku akisubiri umlee mtoto wake. Mtoto akizaliwa salama, Mama (mkeo) atachepuka kumpelekea jamaa (mume mwenzio) amuone mwanawe. Mkuu, usijiumize....piga chini huyo mkeo she's NOT trustworthy.

Kweli ww mbishi...
 
Piga dochi huyo mkeo tena fasta, atakusakizia na kuja kulea mtoto wa kibaka kisha majanga ya kumrekebisha huyo mtoto upate wewe. Usipende kulea mtoto wa mwenzako kwani kuna uwezekano kuwa baba wa huyo mtoto anaweza kuwa mwizi aliyeshindikana au kibaka. Kwa kuwa mkeo alikuwa anapewa hela za matumizi na huyo jamaa akahamua kuchapwa kavu kavu bila woga wa magonjwa ya maambukizi, meaning kwamba anamuamini huyo jamaa kuliko wewe au kama wewe. Kwa kifupi, una share mboo na mwanaume mwenzako na kama kampa mkeo gonjwa basi hilo gonjwa linakusubiri wewe ulivae na jamaa huko aliko anakucheka kwa kukuona ****** kukuchapia mkeo huku akisubiri umlee mtoto wake. Mtoto akizaliwa salama, Mama (mkeo) atachepuka kumpelekea jamaa (mume mwenzio) amuone mwanawe. Mkuu, usijiumize....piga chini huyo mkeo she's NOT trustworthy.

Asipokuelewa basi atakua shabiki wa cccm maana huwaga na akili mbovu
 
Sikuwepo mkoani kwa miezi kadhaa, nimerudi Jana usiku nimekuta mke wangu ana mimba ya kama miezi mitatu, kumbuka sijakuwepo for more than six month.
Sitaki kumuuliza lolote kwa sasa
Umejuaje kama ni ya miezi mitatu
 
Piga dochi huyo mkeo tena fasta, atakusakizia na kuja kulea mtoto wa kibaka kisha majanga ya kumrekebisha huyo mtoto upate wewe. Usipende kulea mtoto wa mwenzako kwani kuna uwezekano kuwa baba wa huyo mtoto anaweza kuwa mwizi aliyeshindikana au kibaka. Kwa kuwa mkeo alikuwa anapewa hela za matumizi na huyo jamaa akahamua kuchapwa kavu kavu bila woga wa magonjwa ya maambukizi, meaning kwamba anamuamini huyo jamaa kuliko wewe au kama wewe. Kwa kifupi, una share mboo na mwanaume mwenzako na kama kampa mkeo gonjwa basi hilo gonjwa linakusubiri wewe ulivae na jamaa huko aliko anakucheka kwa kukuona ****** kukuchapia mkeo huku akisubiri umlee mtoto wake. Mtoto akizaliwa salama, Mama (mkeo) atachepuka kumpelekea jamaa (mume mwenzio) amuone mwanawe. Mkuu, usijiumize....piga chini huyo mkeo she's NOT trustworthy.

Mbona umemaliza ushauri wote mkuu,ungeacha hata kidogo tuhitimishe
 
Back
Top Bottom