Nimekuta mke wangu ana mimba ya mwingine

Tukisema siku hizi ndoa zimekuwa kama bongo movies watu wanapinga...hakuna uaminifu tena kwenye ndoa.unangaika kutafuta pesa mtu yuko anafanya mambo ya ajabu..usije kushangaaa mimba yenyewe inaweza kuwa ya muuza chips..Mungu ameamua kumweka hadhari kwa zambi aliyokuwa akifanya..
 
Tukisema siku hizi ndoa zimekuwa kama bongo movies watu wanapinga...hakuna uaminifu tena kwenye ndoa.unangaika kutafuta pesa mtu yuko anafanya mambo ya ajabu..usije kushangaaa mimba yenyewe inaweza kuwa ya muuza chips..Mungu ameamua kumweka hadhari kwa zambi aliyokuwa akifanya..
Tusizihukumu ndoa kiivo kisa hizi chai za watu, maoni tu....
 
Kaka si fichi hayo yapo sana. Hapo nikupeana pole na kusonga mbele tu.
 
Mkemia mkuu alisema kwel sana ile 49% hapo ungerud one day baada ya kuliwa papunch huyo mke ingekuwa mimba yako hyo maana asnge kuacha hvhv mpaka umle tuwe makin sana na ndoa hiz
Usikute hata ww unawatoto weng njee kwhyo ngoma dro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom