Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
marangu.JPG marangu1.JPG marangu2.JPG marangu3.JPG marangu4.JPG
Miezi michache iliyopita nilibahatika kwenda marangu mtoni. Kwa kweli kwanza hali ya hewa ni kama ulaya yaani halafu watu pia ni wakarimu, mazingira safi sana, vitu kama maporomoko ya maji na kula nyama na kunywa mbege kwa sana. Salam zangu kwa wakazi wa marangu, one day nitarudi tena!
 
duh umenikumbusha Home Man hadi mate yamejaa mdomoni....wachaga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Umenikumbusha njia ya kwenda Kibo Hotel na Njia ya Kinapa Kwa Mtu mmoja anaitwa Blue Band sijui bado yupo?
 
mie kweli napapenda ila utaratibu wao wa kuchinja kizamani huwa siufagilii kwakweli yaani nyama inakanyagwa na miguu utafikiri ni sakafu?? kwann wasitundike juu khaaa!!!!!!!!!!!!
 
mie kweli napapenda ila utaratibu wao wa kuchinja kizamani huwa siufagilii kwakweli yaani nyama inakanyagwa na miguu utafikiri ni sakafu?? kwann wasitundike juu khaaa!!!!!!!!!!!!

Hapana hiyo picha ya nyama iko chini ni migombani ambapo wanakaa wazee wa ukoo wanakula nyama na supu, haruhusiwi mwanamke kwenye hii!
 
jamani umenikumbusha enzi hizo niko shule naenda kutibiwa marangu hospital nikitoka lazima ninywe mbege ndo nirudi shule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom