Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Nimekumiss hadi nahisi kuumwa jamani

Adabu ninayo A+. Ka vipi nenda kalewe, nasikia ukilewa ngeli inateleza tu afu kunywa kabisa mlenda[emoji12] [emoji12]
Mmmh mie na pombe wapi na wapi!! Nisijeishia kuvua nguo bureee na kutukana kijaluo badala ya kingreza
 
Mmmh mie na pombe wapi na wapi!! Nisijeishia kuvua nguo bureee na kutukana kijaluo badala ya kingreza
Hahaha si unataka kuflow kama paulo. Ila sikupatii picha eti umelewa teh teh ntakufwaa for you
 
Yaan huyu mwanaume nimemmiss hadi nahisi kuzima jamani,sijui hata nifanyeje long distance inaniumiza,kwa vile nampenda hakuna jinsi japo ajue naumia jamani mi ni binadamu kha!Sio robot. Ngoja nijilalie mie.

Nawatakia usiku mwema.
Bora ni utani! lini ukaona njia ndefu ikakosa kona na vituo vya kupumzika, angalau kuchimba dawa?
 
Oooh! amini kweli mimi huwa sitanii mambo ya maisha kabisaaa! Unamis sana dagaa kwa sababu hujawahi onja nyama ya ngedele! Onja halafu utakuwa na mbadala wa dagaa.

kwa hiyo nikionja hivyo sitahangaika
 
Khaaaaaa,kumbe hii thread ni yako Dinazarde?
Sikujua hili.
Ila kaa ukijua hauko peke yako mama, tupo wengi tu tunavumilia maisha yanaenda.
Naweza kuyaona maumivu yako,inaumiza sana kwakweli.
Ngoja nikuache na hii picha,iwe kwa ajili yako na wale wote waliopo katika long distance relationship
 

Attachments

  • 1457869311956.jpg
    1457869311956.jpg
    24 KB · Views: 47
kwa hiyo nikionja hivyo sitahangaika
Khaaaaaa,kumbe hii thread ni yako Dinazarde?
Sikujua hili.
Ila kaa ukijua hauko peke yako mama, tupo wengi tu tunavumilia maisha yanaenda.
Naweza kuyaona maumivu yako,inaumiza sana kwakweli.
Ngoja nikuache na hii picha,iwe kwa ajili yako na wale wote waliopo katika long distance relationship
Tatizo ni akili ya Binadamu. Tunajidai sana kupoteza unyama wetu kwa sababu ya uwezo wa kufikiri. Lakini amini kwamba miili ya unyama iko pale pale. Ukiona kuku anafuatwa na majogoo wengi siyo umalaya, ni unyama wake. Au jogoo mmoja anafuata majike mengi siyo umalaya ni unyama wake.

Angalia binadamu sasa, eti mwili unakusukuma wewe unasubiri aliyeko mbali ili ujiridhishe kwamba ni mstaarabu Heeeee! shauri yenu! mimi hapana! Ni papo kwa papo!
 
Khaaaaaa,kumbe hii thread ni yako Dinazarde?
Sikujua hili.
Ila kaa ukijua hauko peke yako mama, tupo wengi tu tunavumilia maisha yanaenda.
Naweza kuyaona maumivu yako,inaumiza sana kwakweli.
Ngoja nikuache na hii picha,iwe kwa ajili yako na wale wote waliopo katika long distance relationship

hhhhaaa ulikua unaipita Tu eti ni yangu mamiii
yaan Kuna muda wenzio wapo na wenzi wao kila Mara kila muda,we upo Tu peke yako unalisongesha ,Kuna unajihisi mpweke maana rafiki yako WA kawaida hawezi kufanyia kama anayokufanyia umpendae,na wanaume wanatofautiana ile kujali,kujua shida zako,furaha yako ,
mapenzi anayokupa,hivi utaachaje kummiss
na Yale mambo yetu sasa mi nakaribia kua mwehu haki ya mama Nifah maana sion WA kumfananisha aisee acha nilie peke uangu hhhaaaa
asante kwa ujumbe murua
 
Tatizo ni akili ya Binadamu. Tunajidai sana kupoteza unyama wetu kwa sababu ya uwezo wa kufikiri. Lakini amini kwamba miili ya unyama iko pale pale. Ukiona kuku anafuatwa na majogoo wengi siyo umalaya, ni unyama wake. Au jogoo mmoja anafuata majike mengi siyo umalaya ni unyama wake.

Angalia binadamu sasa, eti mwili unakusukuma wewe unasubiri aliyeko mbali ili ujiridhishe kwamba ni mstaarabu Heeeee! shauri yenu! mimi hapana! Ni papo kwa papo!

kwa hiyo tukichepuka si itakua balaaa maana kila utakaechepuka nae utafananisha unaona hafai au sijakuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom