Nimekukumbuka sana. Rest in peace

Nimekukumbuka sana. Rest in peace

Nimejikuta nalia hata hamu ya kula imekata kabisa wakuu..

Kuna uzi nimesoma umefanya kukumbuka mbali sana sana sana wakuu...

Nilimpenda sana na nikawa naishi nae licha ya kujua alikua ni positive... Ila nilisema hakuna cha kutenganisha mapenzi yetu zaidi ya kifo..

Tupo advance alianza kuumwa kutokana na shule aliyosoma ilikua na mazingira ya baridi na ukizingatia yeye alikua na athma..😭😭😭

Kifo ni fumbo wakuu. 😭😭😭😭😭
Nakumbuka mara ya mwisho alilaumu sana kwanini sikuenda likizo badala yake nikabaki shule...

Mpaka anaumwa kilikua kipindi cha mitihani ya moko hivo kutoka pale shule ilikua ngumu, nilitamani kutoroka nilishindwa, nilitamani nifanye vyovyote nikamuone ...

😭😭😭😭😭😭😭
Pole mwaya 🥹
 
Nimejikuta nalia hata hamu ya kula imekata kabisa wakuu..

Kuna uzi nimesoma umefanya kukumbuka mbali sana sana sana wakuu...

Nilimpenda sana na nikawa naishi nae licha ya kujua alikua ni positive... Ila nilisema hakuna cha kutenganisha mapenzi yetu zaidi ya kifo..

Tupo advance alianza kuumwa kutokana na shule aliyosoma ilikua na mazingira ya baridi na ukizingatia yeye alikua na athma..😭😭😭

Kifo ni fumbo wakuu. 😭😭😭😭😭
Nakumbuka mara ya mwisho alilaumu sana kwanini sikuenda likizo badala yake nikabaki shule...

Mpaka anaumwa kilikua kipindi cha mitihani ya moko hivo kutoka pale shule ilikua ngumu, nilitamani kutoroka nilishindwa, nilitamani nifanye vyovyote nikamuone ...

😭😭😭😭😭😭😭
Usiwalize wana CCM wa JF hata huyu tunasubiria ambaye anashika kiti cha CCM hatabaki mumewe kama wake wa viongozi
IMG_1230.jpeg
 
Pole sana, humu kuna wengine walipiga dry chama na waathirika wanaotumia dawa sema hawakujua leo wanajiona wajanja, Mungu yupo jamani tumshukuru kwa kila jambo
 
Back
Top Bottom