Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,402
- 54,845
Nimejikuta nalia hata hamu ya kula imekata kabisa wakuu..
Kuna uzi nimesoma umefanya kukumbuka mbali sana sana sana wakuu...
Nilimpenda sana na nikawa naishi nae licha ya kujua alikua ni positive... Ila nilisema hakuna cha kutenganisha mapenzi yetu zaidi ya kifo..
Tupo advance alianza kuumwa kutokana na shule aliyosoma ilikua na mazingira ya baridi na ukizingatia yeye alikua na athma..😭😭😭
Kifo ni fumbo wakuu. 😭😭😭😭😭
Nakumbuka mara ya mwisho alilaumu sana kwanini sikuenda likizo badala yake nikabaki shule...
Mpaka anaumwa kilikua kipindi cha mitihani ya moko hivo kutoka pale shule ilikua ngumu, nilitamani kutoroka nilishindwa, nilitamani nifanye vyovyote nikamuone ...
😭😭😭😭😭😭😭
Kuna uzi nimesoma umefanya kukumbuka mbali sana sana sana wakuu...
Nilimpenda sana na nikawa naishi nae licha ya kujua alikua ni positive... Ila nilisema hakuna cha kutenganisha mapenzi yetu zaidi ya kifo..
Tupo advance alianza kuumwa kutokana na shule aliyosoma ilikua na mazingira ya baridi na ukizingatia yeye alikua na athma..😭😭😭
Kifo ni fumbo wakuu. 😭😭😭😭😭
Nakumbuka mara ya mwisho alilaumu sana kwanini sikuenda likizo badala yake nikabaki shule...
Mpaka anaumwa kilikua kipindi cha mitihani ya moko hivo kutoka pale shule ilikua ngumu, nilitamani kutoroka nilishindwa, nilitamani nifanye vyovyote nikamuone ...
😭😭😭😭😭😭😭