Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 10,841
- 15,358
injini imeshakufa alafu watu wametoka front, huoni hapa mahesabu hayakutimia?Si kweli, wananchi walifanya upande wao ukaisha...
Kule kwingine ni kama gari ilikuwa inasonga kwa momentum baada ya injini kuzima..
sawa wamefanya upande wao --- walipewa lini taarifa kwamba mzigo umeshakataa? au watoaji taarifa walikua hawapo?/ au walipiga kimya kwamba maafa nayo mtaji?