Daaah mkuu acha tu,kusema kweli sisi Raia wa Nchi hii ndio tatizo kubwa kuliko hata hao CCM na viongozi wao,si ajabu jeshi,mahakama, bunge vyote vimetutelekeza
UKWELI MCHUNGU.....hili Taifa tatizo lake kubwa kabisa si KATIBA,VIONGOZI MAFISADI, WASIOJULIKANA,POLISI WAONEVU,JESHI LISILOJITAMBUA,MAHAKAMA NA BUNGE DHAIFU.....ni sisi Wanachi tusiojitambua wala kujielewa.........
Nina uhakika wa asilimia nyingi sana ,kuna wqtu kibao tu humu wanaona wale wote waliouliwa Oktoba 29 kwenye maandamano ni MAFALA na WAJINGA waliostahili yaliyowapata,ila tu wqnashindwa kuandika hivyo humu sababu ya UNAFIKI wao
Inaumiza sana ila haina budi kukubaliana na ukweli huu,kwamba
unaishi ndani ya jamii ya namna hii