Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

Alikuwa mpumbavu kupindukia, mfumo alioshiriki kuutengeneza na kuutetea umemtsfuna masikini ya Mungu.
Ujasiri wa nzi matokeo yake huwa ni kifo chake mwenyewe.
Polepole ni mkundugu
 
Ila tarehe 29, 30 walimuheshimisha. Hata kama alikuwa kashatangulia, ila walimuenzi. Lazma alikuwa proud. Ila sasa to think of it, kumuondoa Polepole imewasaidia nini?
kumuheshimisha kwa kukubali kuingizwa chaka?
 
Uzi unatia hasira wapumbavu wanamuulizia mtu ambaye alianza kuukataa mfumo wa kipumbavu unao kandamiza watanganyika

Hata kama hakutumia mbinu nzuri lakini alionesha kutaka kuleta mabadiliko Fulani.

Nimeamini watanganyika wengi ni manyumbu wanawahi kusahau. After all the battles he started Kuna watu wamesahau kabisa na kumwona mjinga.

Kuna siku Abdul atawapaka vilainishi awatindue mitalo ndipo akili zitawarejea

Pumbavu zenu
wewe ndo nyumbu kwa kushindwa kumuelewa polepole mkuu,
 
Ujinga ule ule wa babu zake enzi za “Maji Maji” kuwa risasi za wazungu zingegeuka maji hivyo wasingekufa!
Lakini kwa Pole pole kama wamemuua, Mzee Butiku atabeba huo msalaba mpaka atakapoingia kuburini. Butiku kwa kumuuza Humphrey kwa vipande vya fedha toka kwa Samia , amesaliti ukombozi wa nchi!
hili la butiku kuna ushahidi gani?
 
Watu waliandamana kuanzia Oct 29, wakauawa 10,000.
Kwa hizo damu zilizomwagika unasemaje Watanzania walikaa kimyaa?
oct 29 watu walitoka kwa kupewa ahadi fulani na wanojinasibu wana "za ndani" kwamba kila kitu kipo tayari kuna kundi fulani linawataka wato watu 1000 tu wao wamalize kazi. --- bila hiyo ahadi ambayo mpaka sasa waliokua wanawaaminisha watu hawajatolea ufafanuzi hiyo ahadi imeishia wapi, au mkuu wewe umeona walokua wanaeneza hiyo ahadi wametolea ufafanuzi?
 
Kabisa mkuu..amewahi kumuita lissu kibaraka wa Mabeberu hapa nchini..alikuwa ni kiongozi mjivuni sana kila anapo pata airtime.

mgombea wa chama cha mbowe na muakilishi mkaazi wa mabeberu hapa nchini ~ slowslow 2020

 
mgombea wa chama cha mbowe na muakilishi mkaazi wa mabeberu hapa nchini ~ slowslow 2020

View attachment 3545944
Sema nilicho jifunza siyo kwa polepole tu,watu wengi wakiwa na madaraka huwa wanajisahau mnoo..tunaona hata huku chini halmashauri,mtu akiwa na cheo fulani anajiona kamaliza kila kitu...anaanza kukandamiza wengine. Siku akikosa cheo akili zinamrudia.
 
Sema nilicho jifunza siyo kwa polepole tu,watu wengi wakiwa na madaraka huwa wanajisahau mnoo..tunaona hata huku chini halmashauri,mtu akiwa na cheo fulani anajiona kamaliza kila kitu...anaanza kukandamiza wengine. Siku akikosa cheo akili zinamrudia.
tunajisahau sana
 
Tanzania alikuwa anaonekana au alikuwa mafichoni mpaka walivyomtrack na kumbaini alipo?

Hivi hizi VPN ndio zinawadanganya?
Polepole aliuzwa, baada ya oct 4 kuzungumza kamanda Tesha, siku 2/3 baadae anavamiwa na kutekwa.

Isitoshe mara ya mwisho alizungumza kuhusu usaliti.

Ni kama Yuda alipvyomuuza Yesu , hakuna cha ajabu.
 
oct 29 watu walitoka kwa kupewa ahadi fulani na wanojinasibu wana "za ndani" kwamba kila kitu kipo tayari kuna kundi fulani linawataka wato watu 1000 tu wao wamalize kazi. --- bila hiyo ahadi ambayo mpaka sasa waliokua wanawaaminisha watu hawajatolea ufafanuzi hiyo ahadi imeishia wapi, au mkuu wewe umeona walokua wanaeneza hiyo ahadi wametolea ufafanuzi?
Mambo ni mengi, ngoja nikae kimya tu.

Ila elewa tu asingetekwa balozi, ilikuwa ni habari nyingine. Maana waliokuwa nae walikuwa neutralized wote, na zoezi likafia pale. Niishie hapo.
 
Back
Top Bottom