Nimekuchagua Wewe...!!!

Nimekuchagua Wewe...!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
Salaam za wakti kama huu,
Niambie mwana MMU ukiusikia wimbo huu unakumbuka wapi? I know some of y'all mtakumbuka your wedding day (obviously it was a wedding-hit song back in days up to now). Mimi kwa kweli wimbo huu unanikumbusha the first time ever nakutana na miss chagga.........
 

Attachments

Daah...nakumbuka siku za wali na nyama Iyunga Technical miaka hiyo!
 
Salaam za wakti kama huu,
Niambie mwana MMU ukiusikia wimbo huu unakumbuka wapi? I know some of y'all mtakumbuka your wedding day (obviously it was a wedding-hit song back in days up to know). Mimi kwa kweli wimbo huu unanikumbusha the first time ever nakutana na miss chagga.........

Weka sawa hapo ieleweke...

Huyu Miss Chagga amekeketwa hana hisia ni sawa na kumpigia mbuzi Gitaa... Alishaolewa na akaachika mara sita
 
Haahaha, mkuu si Ndanda tulikua tunaita Nyali!

Zamu ya wali na nyama hata wagonjwa wa special meal walikuwa wanapona ila siku za ugali ndo ugonjwa unakuwa juu...
Tuliiba sana ndizi sukari kwenye mashamba ya iwambi! ...daah machozi yanaanza kunilenga lenga hapa nikikumbuka Desemba 3, 2000 saa 5.20 asubuhi polisi walipomuua komredi Michael Sikupya R.I.P bro! Ulikuwa na ndoto nyingi kimaisha!
 
Zamu ya wali na nyama hata wagonjwa wa special meal walikuwa wanapona ila siku za ugali ndo ugonjwa unakuwa juu...
Tuliiba sana ndizi sukari kwenye mashamba ya iwambi! ...daah machozi yanaanza kunilenga lenga hapa nikikumbuka Desemba 3, 2000 saa 5.20 asubuhi polisi walipomuua komredi Michael Sikupya R.I.P bro! Ulikuwa na ndoto nyingi kimaisha!

Duh, rest in peace! Hii ndio mambo ya police brutality katika nchi yetu!
 
nilikuwa ndio kwanza nakua tulikorofishana na boyfriend,basi ukiimbwa unasikia upweke lol:crying:
 
halafu hauchuji,km ulisikia zamani,na leo hii ukausikiliza utaufurahia the same....hii ndio talent!,,,sijui kwa nini hakutoa singo mpya,au alitoa....??
 
Mmmmh,heri ninyi mnaokumbuka those special days!
 
Mi unanikumbusha mishe mishe za skonga na maandalizi ya Necta....
 
Back
Top Bottom