hongera, hata kazi unafanya kwa confidence. ila chunga wasikuzoee kupitiliza !kwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini. uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
Ukamvutia mpaka mke wangu mpemdwa ambaye nimemuhonga kiwanja cha familia Lamomykwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini. uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
unavuta bangi ya mbegu au ya majani?kwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini. uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
umemkosea sana kumbe ni beautful boy na sio handsome boyHaszu beautiful boy naomba mshahara wa kwanza unipe hata buku aiseeeβ¦!!
Uzuri wako umekupa ulaji mwanetu
This is so IdyllicKwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini.
Uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
they was like hypnotized.Kwanza nilipofika Oral interview wengi walikua wananiangalia sana, they was like hypnotized, nikasema hapa wameisha. mambo yakaenda vyema, sasa kazini wee, kwanza nilipofika, walidhani labda ni high profile person ameenda kukagua au nini.
Uzuri kazi yangu haihusishi kukutana na watu wengi kama wateja, ila sipati picha ni namna gani wangeomba namba. hakika uzuri hauzoeleki, kila mara watu wanakushangaa sana
Huyo ni beautiful boy ana mpaka skin routine kwenye dressing table yake..!!umemkosea sana kumbe ni beautful boy na sio handsome boy
Intelligent businessman umemsikia Mbaga huku πΉπΉπΉIntelligent businessman naona unabadili I'd tuu Huna wasiwasi π
Mambo n mengi πIntelligent businessman umemsikia Mbaga huku πΉπΉπΉ
Hii id leo mara ya kwanza naiona πΉπΉπΉ
Kumbe nimehongwa plot na sijui alooo..!!