Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,741
- 5,226
Hivi wanawake wa aina yako mbona hua hatuwapati mnajificha wapi jamansina watoto sijawai kuzaa najiheshimu sana sikupenda kuzaa nje ya ndoa
Hivi wanawake wa aina yako mbona hua hatuwapati mnajificha wapi jamansina watoto sijawai kuzaa najiheshimu sana sikupenda kuzaa nje ya ndoa
Labda mimi nitakufaa!Ninaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
Ninaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
nifanyeje mimi mwenzenu?
Sasa utazaa kweli wewe au ndiyo wale wa Mtoto mmoja kama pochinina miaka 35
huyo huyo anatosha kuwa pochiSasa utazaa kweli wewe au ndiyo wale wa Mtoto mmoja kama pochi
tatizo MATCHING ITEM au MULTIPLE CHOICE.......?
Inaonekana unajifanyaga matawi ya juu sana sasa ushauri wangu tafuta kijana wa mtaani mpe papuchi akikupa mimba unaachana naye unalea mwanao hiyo ndiyo faraja yako yakudumu achana na wanaumehuyo huyo anatosha kuwa pochi
Tongoza wewe acha wogaNinaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
Tegemea kupata watoto wa njehuyo huyo anatosha kuwa pochi
Umechagua hadi umefika 35?? Poleenina miaka 35
nina miaka 35