Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,649
- 1,497
Too late ndugu. Mungu akujalie umpate umtakaenina miaka 35
Too late ndugu. Mungu akujalie umpate umtakaenina miaka 35
Ninaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
nifuateNinaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
Endelea kungoja mamaa monopouse yaja utaanza bandika thread natafuta mbaba mtu mzima ambaye hajaoa au kama kaoa mkewe alifariki sawa.Ninaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
Kaa ivyoivonina miaka 35
Unakila dalili kuwa wewe ni single mother!sina watoto sijawai kuzaa najiheshimu sana sikupenda kuzaa nje ya ndoa
Toa mifano ya mitegobinti kuwa na mitego ya kumvuta mwanaume umtakaye acha kulia... halafu wanaokupenda ndiyo wazuri utajifunza kumpenda .. unayempenda atakusumua mnoo
Mwe!Kama unamiaka 35 unatamani vijana unategemea nini. Yani kama unataka mwanaume size yako unabidi utafte wa mika 50 na kuendelea
Pia hawakupendi kwahio hata hawana hata lile wazo la kukutongoza!Ninaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
*****sina watoto sijawai kuzaa najiheshimu sana sikupenda kuzaa nje ya ndoa
Yaani isingekuwa huu umaskini wangu ningeshakuweka ndani!binti kuwa na mitego ya kumvuta mwanaume umtakaye acha kulia... halafu wanaokupenda ndiyo wazuri utajifunza kumpenda .. unayempenda atakusumua mnoo
Na ningekuganda balaaYaani isingekuwa huu umaskini wangu ningeshakuweka ndani!
Hata kuwatega huwezi........Ninaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.