Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,088
- 8,769
Hebu libainishe mkuuKuna tatizo sehemu
Hebu libainishe mkuuKuna tatizo sehemu
we hujawahi?kabisa wata msagura balaa
nitafute chembaHebu libainishe mkuu
Jaribu kumtafuta MWANAJESHI wa CHEO cha chini katika JESHI la wananchi (KURUTA) ...Ninaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
Sijawahiwe hujawahi?
Chemba ndio wapo tena?nitafute chemba
Kudos brother.Ukute mtoa mada mwenyewe level zake ni kuolewa na wanaume wa tandale half yeye analenga wanaume wa high class, hlf yy mwenyewe has almost nothing to put on table (sio mrembo wa umbo na sura) hapo lazma shida iwepo
The same thing inatokea kwa ss wanaume lyk wengine wanataka madem wazur high quality wkt wao sura ni kama mugabe hlf mfukoni MTU yupo broke hapo lazma uone dunia inakuelemea
Mm nimejifunza ku-stay in my lane when it comes to aidha finances or relationships, mm sijichoshagi na mademu wa kupatia sifa mtaani, mm na-date demu ambae naweza kum-manage, lyk ataniheshimu, she won't leave and willingly mistreat me no matter what.
Dada yangu ananiambia namwaibisha coz rafiki zake wa kike wanashangaaa mm niki-date na msichana wa aina flani (madai yao ni kuwa wasichana ninaodate nao are below my league, (I.e sio wa hadhi yangu) sasa mm najiuliza walitaka ni-date na nani, nyani auu
Finally unaweza ukaoa/ukaolewa na mwanaume au mwanamke wa ndoto zako or someone who's above ur league but its rare and it depends on ur love luck, nlishaachanaga kitambo kufukuzia madem ambao naona sio level zangu (in terms of physical attractiveness) miss chagga mahondaw mama mtarajiwa