Nimekosa interview ya UDOM sababu ya kutokuwa hewani(simu)

Nimekosa interview ya UDOM sababu ya kutokuwa hewani(simu)

gatty

Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
64
Reaction score
13
Mwenzenu nimekosa interview ya udom sababu ya kuchelewa kupata information kupitia cm yangu! Sikuwepo hewan kwa kipindi cha siku 3 sababu ya ubovu wa simu yangu na naami wakati wametoa shortlist ya watu simu yangu ndo ilikuwa kwa fundi yaaani Leo hii ndo nimepata information kupitia jukwaa la ajira kuwa shortlist zimetoka na siku yangu ya kufanya interview ilikuwa tareh 8, mmh sina RAHA kabisa nawakat nilikuwa naomba mungu usiku na mchana niite lakin Leo ndo uzembe huu, ndo nimeshakosa tena nafasi sina jinsi!! Jina hilo # 16

attachment.php
 

Attachments

  • 1394401622689.jpg
    1394401622689.jpg
    55.9 KB · Views: 1,909
Aisee!! Pole sana ndugu, bt nina kakibanda kangu ka kuburn CD hapa. Ninahitaji msaidizi kama huko tayari PM ujishikize shikize kwa muda.
 
Aisee!! Pole sana ndugu, bt nina kakibanda kangu ka kuburn CD hapa. Ninahitaji msaidizi kama huko tayari PM ujishikize shikize kwa muda.

Sheria ya haki miliki unaijua lakini mkuu na hizo CD unazo burn?

Kwako mwenye uzi,pole sana japo ni uzembe mkubwa sana umefanya.Hukutakiwa kutegemea JF kupata taarifa bali tovuti ya UDOM ndio ulitakiwa uwe unaipitia kila siku.


Maisha ni kama kioo,ukicheka na yenyewe yanacheka
 
Najipa moyo labda siyo ridhiki ndugu yangu

"Everthings happen in this world it just happen for a reason bae" kuwa mvumilivu na mwenye subira wenda mungu ana makusudi yake uwe somewhere good than that post...!!

Sea never dry bae, sorry kwa 1st comment yangu I didn't mean to offend you bali was trying to be comic and fun ili nikutoe stress.

Kila la kheri gatty!!
 
Ni uboya ur not seriouz na mambo yako at all, utasugua sana bench
 
pole sana my...it hurts bt lets luk forwad tusirudie makosa
 
nami nimesikitika sana hila simu huwa hewani masaa 24 hila sikupata information yoyote na interview imeshapit ilikuwa tar 9?
 
Gatty we uliomba post ip na aman na ww uliomba ipi? Msikate tamaa kaz zenu zipo hata km co udom kuwen tu wavumilivu.mi nimefanya iyo interview post ya hr n admin aisee watu zaid ya mia 4 madarasa mawil post.afu uliza sasa wanataka watu wangapi...acha kabisa aisee.
 
tujifunze kutokana.na kosa la.mshikaji. kwa kipindi hiki kutokua hewani unakosa michongo mingi sana.

btw bro usikate tamaa. pamoja.na kua umekua ukiomba sana, maybe hiyo ndio jibu la sala yako. kwamba hakikua ridhiki.

ps: kuna.maraia wanatabia, wakigombana na.mademu/bwana.zao wanazima simu ata siku 4, hii nao inawahusu aisee. kuzima simu au kujifanya unaiacha simu unaenda out, eti hutaki usumbufu sio issue.
 
Shukuru Mungu kwa Kukupa Usicho Kiomba,

Ungechoma Nauli yako Bure kwenda dodoma.

UDOM ni zaidi ya Uijuavyo.
Usijilaumu,subiri uone matokeo ya wenzio ya Interview utaelewa nacho maanisha.
 
Mshukuru sana Mungu kakuepushia upotevu wa nauli yako...interview za pale zinashangaza sana,post 5 wanaitwa watu 1500 kama si kupotezeana nauli kitu gani
 
Back
Top Bottom