Nimekataliwa ukweni kisa kabila langu

Nimekataliwa ukweni kisa kabila langu

Hi kitu imeniuma sana wakuu, sikutegemea Karne hi bado kuna ubaguzi wa aina hii.

Iko hivi, nimempata binti wa kibena tumependana na tukakubaliana tuoane, kimbembe ni pale alipowapa taarifa nyumbani kwao kuwa kapata mchumba mjita wa Musoma.
Walivyosikia tu Musoma wakaitisha kikao Cha familia na kukataa katakata kuwa binti yao hawezi olewa Musoma. Sababu zao ni
1. Musoma ni mbali na kwao(Njombe). Ikumbukwe mm na binti wore tunaishi Dar es Salaam
2. Watu wa Musoma ni wakatili sana

Wakuu, kusema kweli kutoka moyoni mwangu nampenda sana huyu binti, sijui nitumie njia gani kupindua meza maana kwa Hali ilivyo yeye binafsi ni Kama anaelekea kuwatii ndugu zake(Yuko dilemma)

Naombeni mnishauri, nifanyeje au nitumie njia gani ili kuweza kumuoa huyu binti.

Ahsanteni.
Mimi mwanaume wa kweli na ninaishi Mwanza,nawajua wajita..ni kweli walicho mwambia na wanaweka tahadhari juu ya binti yao,siyo lazima uoe huyo huyo tu,ikibidi piga chini wanawake ni wengi sana wazuri wa maumbo na tabia pia,punguzeni ubabe ubabe na ujuaji usio na maana,mkoa wa Mara na viunga vyake vya humo ziwani ziwani mna matatizo
 
Hahahahhahahaha kuna jamaa yangu kaowa mkurya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi kati mke wake kafungua tv kwenye stand ya ukitani kaibamizia chini[emoji23][emoji23]
Star x 32[emoji23][emoji23]
Mambo madogo madogo .
Kwa nature ya kariba ni kwamba anahitaji bakora
Na asimchekee kabisa.
Apigwe kisawasawa nasema aswagwe mpaka akili itambue

Unawezaje kumchekea mtu wa hivyo.
 
Vizuri sana....ukome kabisa

Pumbavu kabisa,unaacha wanawake wazuri wa kwenu,tena wana heshima zao unakambilia makabila hata huyajui wala hayakufahamu,eti unataka kuoa huko!

Hivi hii mitoto itakuja kua na akili lini?

Hizo ni laana za wadada wa Kijita ulio wadharau as if wao ni matakataka that are not good enough for you mpaka uende kuoa wengine

Usiniletee upumbavu eti wa "mapenzi"....ooh "tulipendana sana"...na bla bla zingine za kipumbavu,hakuna hicho

Ni jukumu lako kuwapenda wanawake wa kwenu na kuhakikisha they are taken care of,and you commit to them long term in life

SAFI SANA,tena huyo mzee angekaa na bastola getini kwake,ukitokea tu apige risasi ya matako kabisa...mwanaume gani punguani na bure namna hii linakimbia majukumu ya kwao?

Pumbavu kabisa,huna maana....hao wadada wa Kijita na wakuloge kabisa mpumbavu wewe!

Wadada wazuri na wana heshima sana,wamekulea mpumbavu wewe,eti leo unatanua mitako unaenda kuoa watu hata hawataki kukuona kivuli chako,bure kabisa yaani!

Nimechukia sana leo mamaeee

Dah umesikitisha sana mkuu, either wewe jamaa umekaa sana vijijini huna exposure au una matatizo binafsi. Ingekuwa nchi zingine wewe huna tofauti na makabulu, washenzi na wabaguzi wa rangi, yani zama hizi bado unapigia debe fikra za kipumbavu namna hii.
 
Hata mimi nawaunga mkono hao wazazi. Mjita hafai kuoa/olewa nje ya kabila lao. Majitu katili, wambea, waongo ka yule bwana yuleee mwanaharakati uchwara.
Hongereni wazazi kwa kuliona hilo. Na weye mwanamke, kama hujamvulia pichu yako huyu mjita, nenda kanunue kufuli uweke. Mjita hakufaiiii
Nawachukia sana majita
 
Mimi mwanaume wa kweli na ninaishi Mwanza,nawajua wajita..ni kweli walicho mwambia na wanaweka tahadhari juu ya binti yao,siyo lazima uoe huyo huyo tu,ikibidi piga chini wanawake ni wengi sana wazuri wa maumbo na tabia pia,punguzeni ubabe ubabe na ujuaji usio na maana,mkoa wa Mara na viunga vyake vya humo ziwani ziwani mna matatizo
Hahahaaa umeeleweka mkuu.
 
Hayo ni mambo madogo madogo sana mzee
Usindekeze mapenzi or hisia kwenye maamuzi.
Chukua hatua ikiweko kuanza kutuma pesa kwa wazazi kama zawadi na unaendelea kujipendekeza ikiwemo wewe kwenda na kumtafuta baba mkwe ukiwa pekeyako na yeye pekee.
Ukiona kama badobado basi mweke mimba binti mapema
Also mkaze kisawasawa ili azidi kuwa dilemma.
Mpe attention kubwa mno.
Lakini usisahau kumkaza na mimba.
Changamka mzee
Noted
 
Bangi ni wewe uliefunga matako ukasafiri kwenda kutaka kuoa mahali wasipokuhitaji wala kuona kivuli chako...

Hivi decision making skills zako ni za chooni?

Hamna bangi zaidi ya hizo aiseee

Aibu sana,hiyo mpaka vitukuu vyako lazima vijue...babu was a fvcken failure on this planet earth!
Hahahahaahahaahaa we jamaa mwache jamaa wa watu asije akajiua maana saizi yupo kwenye hali mbaya sana kisaikojia
 
Hahahahaahahaahaa we jamaa mwache jamaa wa watu asije akajiua maana saizi yupo kwenye hali mbaya sana kisaikojia
Ni kweli usemacho mkuu, siko sawa kbs. Binti huyu nilimtengeneza kuwa mke na bila shaka alinifaa kbs. Nimeinvest kwake muda, hisia na mali nikijua atakuja kuwa mke wangu. Kwa sasa nina miaka 34 hata kuanza kutafuta mchumba naona uvivu. Niko disappointed mno
 
Zingatia Sana Huu Ushauri Utakuja Kushukuru Baadae!

Narudia Tena Zingatia Sana Huu Ushauri.
Zingatia hili. Ukiona unaingia kwenye mahusiano kwakulazimisha, jua mbeleni utaumia kuliko ukikubali ukweli kwasasa.

Kama binti mwenyewe anaelekea kuwaelewa ndugu, wanawake wapo wengi sana japo mwanzo utaumia ila utazoea. Kubali kuishi bila yeye kisha anza kumove on. Kingine, usiwabembeleze sana maana wanaweza kukupa masharti magumu kukukomoa na ukikubaliwa utakuwa mtumwa wao. Usipige simu kuomba ukubalike wala nn, kaa kimya mwezi mzima. Na wakipiga simu (hata kama ni binti) waambie umewaelewa. Usilazimishe mahusiano hata kama unampenda sana, unless awe amebeba oksijeni unayovuta.
 
Hi kitu imeniuma sana wakuu, sikutegemea Karne hi bado kuna ubaguzi wa aina hii.

Iko hivi, nimempata binti wa kibena tumependana na tukakubaliana tuoane, kimbembe ni pale alipowapa taarifa nyumbani kwao kuwa kapata mchumba mjita wa Musoma.
Walivyosikia tu Musoma wakaitisha kikao Cha familia na kukataa katakata kuwa binti yao hawezi olewa Musoma. Sababu zao ni
1. Musoma ni mbali na kwao(Njombe). Ikumbukwe mm na binti wore tunaishi Dar es Salaam
2. Watu wa Musoma ni wakatili sana

Wakuu, kusema kweli kutoka moyoni mwangu nampenda sana huyu binti, sijui nitumie njia gani kupindua meza maana kwa Hali ilivyo yeye binafsi ni Kama anaelekea kuwatii ndugu zake(Yuko dilemma)

Naombeni mnishauri, nifanyeje au nitumie njia gani ili kuweza kumuoa huyu binti.

Ahsanteni.
Mpe mimba
 
wacha kulilia mwanamke wewe........tafuta pesa dogo......
 
Hi kitu imeniuma sana wakuu, sikutegemea Karne hi bado kuna ubaguzi wa aina hii.

Iko hivi, nimempata binti wa kibena tumependana na tukakubaliana tuoane, kimbembe ni pale alipowapa taarifa nyumbani kwao kuwa kapata mchumba mjita wa Musoma.
Walivyosikia tu Musoma wakaitisha kikao Cha familia na kukataa katakata kuwa binti yao hawezi olewa Musoma. Sababu zao ni
1. Musoma ni mbali na kwao(Njombe). Ikumbukwe mm na binti wore tunaishi Dar es Salaam
2. Watu wa Musoma ni wakatili sana

Wakuu, kusema kweli kutoka moyoni mwangu nampenda sana huyu binti, sijui nitumie njia gani kupindua meza maana kwa Hali ilivyo yeye binafsi ni Kama anaelekea kuwatii ndugu zake(Yuko dilemma)

Naombeni mnishauri, nifanyeje au nitumie njia gani ili kuweza kumuoa huyu binti.

Ahsanteni.
Kwani hapo wamekosea wapi?
1. Musoma sio mbali na Njombe?
2. Wajita sio wakatili? Mbona kila mtu Tanzania hii anajua visa vyenu!!!
 
Akiwa na nia yeye mtaoana tu,mimi yalinitokea kama yako na upande wangu ndio haukutaka mtu wa kabila nje, ila nilisimama kama mwanaume mbeba maono wa familia yangu the rest ndoa ipo na miaka mitatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom