Pumbafu wewe.....nani kakwambia nani anazungumzia ukabila hapa?
Kuhudumia familia yako kwanza ni ukabila?
Kwanini uwabague wa kwenu uende kwa wengine?
Kwanini usiwape wa familia yako nafasi kwanza,ikishindikana ndio uwape wengine?
Ukabila ni usenge ulioingiziwa kichwani mwako uchukie familia yako mwenyewe wewe mbuzi...
Ubaguzi hauna mwisho,unaoa kabila lolote Tanzania ila nje ya Tanzania huoi?Kwanini upendelee Watanzania pekee yao kwani wao ni wanadamu pekee yao dunia hii?
Wewe ni baguzi kwa level ya mataifa na mimi ni baguzi kwa level makabila tunayotoka,wote wapaguzi halafu upo humu kuninyooshea mimi kidole,wewe hujioni?
Pumbavu wewe hutakiwi,hawakupendi,hawakutaki,deal with it!
Unaenda kuvamia familia wasizokutaka,unaenda kuchafua familia za watu,oa kwenu mwehu wewe!
Wasichana wa Kijita ni the most humble and well disciplined ladies on this earth,ila kwavile wewe ni kichaa umeenda kwa wasiokutaka sasa hivi unalalamikia dunia,bure kabisa!
Wajita wamekukosea nini?
Ndio unakotoka,ndio waliokuelea,ndio mama na dada zako,still umebeba matako yako kuvamia familia za wengine kuomba ukoo?
Hujiamini,hupendi kwenu,hufai wewe.....hujiamini kabisa yaani!