Mount Kibo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,956
- 553
yani huyo hakupendi hata chembe
akupendae haangalii pesa kama kigezo!!
huko ni kupenda usipopendwa!!utaumia bureee!!
Sioni ubaya wa Bi-dada yeye ana-standard zake.Mimi nnaponunua gari kama ni la kutumia mimi mwenyewe siagizi lisilo na Four wheel drive (4x4) siyo gari ni gari tu kwani mi najijua nipo rafu na foleni za Dar mi hufanya gari path finder (kupita kandoni mwa brbra ili niwahi kufika.hivyo naye dada pamoja na kupenda kuna -added factors (pochi) siyo ilimradi awe tu mwanaume!Ndo maana mimi niingiapo baa najijua mimi ni wa serengeti siwezi kuagiza zile za kupigia picha znaitwa..nini tena zile...Heineken na jamii yake.Ivyo Blaza-kaka naye akubali tu kwamba wa moja abaki na moja asitake kuwa wa mbili.Sasa Pasheni Ledi si umpende basi uyu jamaa kama una uzalendo wa kweli?
I wish ningekuwa demu..ubaya nimeumbwa nina huruma na haya sijui ingekuwaje kwani singependa kuNkatalia Ntu kitu Nnacho.