Nimekataliwa kisa........!

Nimekataliwa kisa........!

Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.

Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)

"Utapoteza pesa nyingi sana kuwasaka/kufukuzia wanawake, lakini hautakosa/poteza wanawake ukiisaka pesa.....".fuata ushauri wa gfsonwin
 
Pole mwaya!
Msamehe ni mfumo tu wa maisha angekubali angekupa kizunguzungu ungeweza kufanya hata ambacho hujawahi kufanya ili umfurahishe yeye!
Kakunyima kunde kakupunguzia mashuzi usihuzunike! Nambie ungefanyaje angekwambia anataka kodi ya nyumba, kwenda saloon mala Luku imeisha!
 
kakukataa kikubwa, katafuta udhaifu ili uamini kweli ananipenda ila fedha ndio kigezo!
 
Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.

Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)

Usipende wanawake kama kama huna hela kwa mfuko
 
Ndugu nakushauri usisikitike, kwanza ushukuru mungu anakuokoa na huyo mtu maana hata ukipata kazi mambo yako yakawa mazuri siku ukipata matatizo atakukimbia hivyo ni bora ukakaa mbali naye. Hata hivyo sidhani kama ni nyema kuwa na mchumba ambaye unategemea aje kuwa wife wako halafu akawa na majibu kama hayo. inaonyesha hana busara. lakini kama ulikuwa unataka kula tuu na hauna malengo yeyote ya maisha ya baadae na yeye basi hilo jibu lina kufaa.

mkuu huyu msichana nampenda kwa dhati na wala sikuwa na nia ya kupita,nilitaka awe wa milele
 
Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.

Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)

Tafuta kazi kijana. Hivi hujui siku hizi hapendwi mtu inapendwa wallet tena wanasema hile iiyotuna.
 
Pole mwaya!
Msamehe ni mfumo tu wa maisha angekubali angekupa kizunguzungu ungeweza kufanya hata ambacho hujawahi kufanya ili umfurahishe yeye!
Kakunyima kunde kakupunguzia mashuzi usihuzunike! Nambie ungefanyaje angekwambia anataka kodi ya nyumba, kwenda saloon mala Luku imeisha!

kama huu ndio mfumo wa maisha basi sisi wanyonge tusio na fedha tutaendelea kuumia aisee
 
kwanini pesa ipewe kipaumbele katika mapenzi na si upendo wa kweli kutoka moyoni?[/QUOTE

MTAKULA NINI HATA KAMA MNAPENDANA TOKA MOYONI?HILA HUYU WAKO LUGHA ALIYO HITUMIA SIDHANI KAMA ANA KUPENDA.
 
sasa wewe nae sijuwi hujielewi,tafuta kazi bhana acha mambo ya wanawake,mambo yakiwa mazuri utapata mwingine

najielewa sana mkuu,natafuta sana sema mambo hayajakaa kwenye mstari
 
halafu we una sura mbaya; kama ndiyo picha yako halisi ; ungekuwa handsome angekuajiri kama shamba boy huku ukila mzigo taratibu

hiyo ndio sura yangu na ndio jinsi nilivyoumbwa,nimejikubali hivyo nilivyo.
 
Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.

Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)

huyo mpenda pesa bora kakukataa huku nje ya ndoa jeungeenda kufilisika huko mbele ingekuwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom