Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.
Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)
aisee sijui kwanini wanawake mnawazaga tu kupewa, kutafutiwa, kulishwa, kunyweshwa, kulazwa na kupakatwa!
hivi kwanini na nyie msipate wanaume wasio na kazi ilhali nyie mkiwa na kazi ili msaidiane pole pole?
mnasubiri tu waume wafe mdai mali!!
ile nyie wanawake nyie!
Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.
Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)
Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.
Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)
Inabidi anivumilie kwenye kipindi hiki cha shida ili siku nikizinyaka tufaidi kwa pamoja na kusherehekea pamoja
Mkuu inaniuma sana kuna msichana ambae nilidumu nae kwa miaka miwili, lakini mwezi huu kaolewa na jamaa mwingine, sababu anasema alinipenda sana lakini hawezi kunisubiri kwa sababu sina mwelekeo wa kumuoa na yeye umri unaenda!
umenena vyema sana bi dada...
lakin naomba kukuuliza je ulishawah kuwa na mahusiano na mtu asokuwa na kazi??
mind you sijazungumzia pesa nimesema kazi,,,,,,,,,,,,,, mwanaume ambaye wewe unaaamka asbh unaenda kazin yeye anabaki home na kids hadi urudi jioni ulishawah??
huyo hakupendi wewe... yeye anapenda utakachokua nacho!
cha muhimu muweke pending halafu tafuta kazi ukishapata tu ndo mfuate tena ila sio kwa kukaa bali kupita tu.
ili roho yako iridhike.
Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.
Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)
kama wewe ni me na hiyo avatar inayo-potray jinsia ya kehow did you know my sex?
guys, i dont understand you.. everyone is calling me 'she'!!
why? should i change my username ?
ni kweli ila kupenda ndiko kunakonitesa sababu nampenda kiukweli kabisa
Na Mawanamke......?mwanaume majukumu babu!
Mapenzi kweli kizungumkuti,yanayonikuta yanautesa sana moyo wangu.
KUna msichana ambaye ninampenda sana toka siku nyingi na yeye aanalijua hilo,ila kila nikimueleza juu ya hisia zangu uu yake yeye huishia kusema NAKUPENDA ILA HATUWEZI KUWA PAMOJA KWAKUWA HAUNA KAZI,HUNA PESA.
Hiki kitu kinaniumiza sana kwani kukosa kwangu kazi na kukosa pesa kunanifanya nimkose mtu ninayempenda kwa dhati,pia najiuliza hivi siku hizi ndio mapenzi hayawezakani tena mtu aspokuwa na pesa/kazi?ndugu mwana-jamvi,fikiria kama wewe ndio ungekuwa umepata na situation kama hii inayonikumba mimi ungefanyaje?(kumbuka hii ni very true story)
Nina stori inayoendana na yako. Na wakati namtokea huyo binti nilifanya makusudi nione kuwa je, upendo wake unategemea nilicho nacho mfukoni ama!
Sikuamini macho na masikio, nilipomwambia ukweli kuwa mimi sina kazi, bado natafuta, sina kipato cha uhakika, bado nategemea ndugu kwa kiasi fulani.... wala yule binti hakusita! Alinionyesha upendo, alinipa nguvu pale nilipoonyesha kukata tamaa mpaka hali ikawa nzuri!
Huyo binti hataki shida, anataka mwanaume aliyenacho, hataki kusaidia ili mtafute pamoja. Kama unatumia akili, basi tafuta mwanamke atakayekupenda wewe na si ulichonacho... hamna binadamu aliyeandikiwa kuwa nacho siku zote!