Nimekata tamaa ya maisha nahitaji msaada

Nimekata tamaa ya maisha nahitaji msaada

Wenzio tunazaidi ya hiyo miaka uliokaa mtaani bila ajira,

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukakaa hata miaka kumi kaka au 15 lakini kama njia yako imenyooka bila ajira uwezi kuwaza ajira abadani, mimi nilianza bila ajira na hadi muda huu bilanajira lakini tabu ya maisha yangu ni kubwa sana.
 
Back
Top Bottom