Nimekata tamaa ya maisha nahitaji msaada

Nimekata tamaa ya maisha nahitaji msaada

Ahsante kaka
Dah! Una milioni moja unatala kulima eka8?! Pole sana ndugu yangu, haukufanya reseach yakutosha. Kuna jamaa yangu naye ana 10m anataka kulima eka50, nkamwambia utauwa duka lima 20 tu!
 
Ahsante kwa ushauri
Siku ingine dalali wakikuzengua, badilika wewe ndo uwe dalali, fanya legwork, tafuta namba za wale wanaonunua nafaka toka kwa wakulima katika area yako, hakikisha unapata ikiwezekana zote.

Rudi kijijini, wewe kazi yako unawatime wakulima wa vijijini kwa kuwapeleka lilipo soko, mfano wewe unepewa bei ya 1500 kilo ya maharage, mkulima mpe bei ya 1300,1350 ili ule hiyo 200 au 150.

Mtaji wako hapa ni vocha,mdomo wako na hela ya kuzungukia.
 
Hela ya kula tu sina nauli nitatoa wapi, sidhani kama hiyo kazi itakuepo hadi muda huu
mkuu kukusaidia nenda mwanza kuna kiwanda cha kutengeneza nondo kinahitaji wafanyakazi malipo 12000tshs per day,kipo veta kiregesh kuelekea buswelu kinaitwa nyakato industry
 
Pole sana na usikate tamaa.Better things will happen to when u keep moving.Muamin sana Mungu na usisite kufanya maamuz unayodhan unapaswa kufanya ili mambo yakae sawa.
Bad times are they..it happens but gud times are too on the way usilisahau hilo.

Achana na MAFIKRA STRESSFUL kama hayo mama yako alokujaza sijui wewe ndio mwanga wa wadogo zako...forget dat bullshit thoughts (wazaz achen ku destroy psychology za vijana wenu kwa style hii).

U have a fighting spirit..keep it burning...half time zipo..kuna time mambo husimama tu ...lisikutatize hilo.

Am talking this from experience...miez 8 ilopita nili lia lia hapa jukwaan...imagine ishu zimegoma huna kitu na una family na watoto shule za kulipia kama kawaida maden kwa mwanaume ni normal na maisha mengine lazma yaendelee..but am now back on track better than before mambo mpera mpera japo it was not easy....nilichojifunza na kukikubali ni kwamba WHATEVER CANT CANT KILL YOU, MAKES U STRONGER...

Relax..strategize...fanya ibafa omba sana Mungu n DONT FORGET N NEVER STOP TO MAKE MOVES
 
Shsante kwa kunitia nguvu kaka, kuna muda unaomba sana Mungu, unakuwa mtu loyal kabisa na unapambana ila hii ya kushindwa hata kuafford foos for my self it very difficult to feel as normal issue, unaweza kuwaza hata kujiua maana unalaza buti aaah wapi yaani maisha haya jamani acheni tu
 
Mkuu, mungu awe nawe, MUNGU akukutanishe na watu salama kwa pa1 mtatue changamoto hiyo. Mtafte mtu sahihi mwelezi ukweli physically na mfanye bargaining ya hiyo issue. Humu jf n 50/50

Nje kidogo na maada. Mkuu humu jf kuna watu wazr na ambao ni kinyume, kuna wenye uwezo wa kukusaidia hawaoni haja ya kukusaidia coz wao mambo ni sawa. Kuna ambao hatuna chochote ila maneno ya kufariji tu na kukupa nguvu.
Kila la kheri kaka
 
Back
Top Bottom