Nimekata tamaa ya maisha nahitaji msaada

Nimekata tamaa ya maisha nahitaji msaada

Pole sana real nakufahamu sana tulimaliza pale NIT Mungu atakujalia
 
Usilipe ubaya ubaya kwa ubaya mkuu, msave mwanae ajisikie aibu yeye, mtoto ana makosa, uenda nakosa connection kwa sababu ya mzee nini
Kuna mmoja alikuwa hapokei simu zangu nilipomaliza chuo mwaka 2009 alikuwa anafanya kazi kampuni ya mawasiliano, ila mwaka 2018 nikiwa ninafanya kazi Dodoma akawa ananitafuta kunipa CV ya mtoto wa kaka yake. Na mimi niliichukua ile CV nikaiweka kabatini kwangu mpaka leo sijampa connection yoyote ile.
 
It doesnt matter mkuu, amenijua kwa sababu ya hii Id tu ndio uwa natumia kwenye group whatsapp n.k ila isingekuwa hivi asingenijua kamwe, na pia sina tatizo wala ubaya na mtu am clean ndio maana sioni kama kuna tabu
Hili ndio tatizo la kuwa na shida yaani unakuwa huna Privacy, cheki jamaa eti nakujua.
 
Ahsante kwa kunitia nguvu kaka, kuna muda unaomba sana Mungu, unakuwa mtu loyal kabisa na unapambana ila hii ya kushindwa hata kuafford foos for my self it very difficult to feel as normal issue, unaweza kuwaza hata kujiua maana unalaza buti aaah wapi yaani maisha haya jamani acheni tu
Wala usiogope, maana haitakusaidia ku solve chochote. Just relax
 
It doesnt matter mkuu, amenijua kwa sababu ya hii Id tu ndio uwa natumia kwenye group whatsapp n.k ila isingekuwa hivi asingenijua kamwe, na pia sina tatizo wala ubaya na mtu am clean ndio maana sioni kama kuna tabu
Kuwa na privacy haina maana kuwa haupo clean au una ubaya na mtu. Nisi explain sana nimekupata.
 
Bado mkuu, kuna mmoja amesema hadi nipate hela at least laki 6 ndio atanipa msaada, ila hivi hivi imeshindikana, kama utakuwa na msaada wowote kwangu naomba usisite kunisave
Duh pole sana, natamani ningekuwa na uwezo huo nikusaidie ila kwa sasa sina.

Ila naamini kuna watu humu wanaweza kukusaidia na natamani ungewaface direct.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom