Nimekata tamaa ya maisha nahitaji msaada

Nimekata tamaa ya maisha nahitaji msaada

Ushirikina je? mkuu
Ushirikina?!!! Uchawi nnaotumia mimi ni huu hapa chini
IMG_20210113_085240.jpg
 
Mtu physical nilipata mmoja tu ila mambo yake anadai hayako vizuri, hii ndio option pekee niliyobaki nayo sasa nikikosa ndio basi sijui nitakuwa na hali gani, bado namuomba Mungu
Mkuu, mungu awe nawe, MUNGU akukutanishe na watu salama kwa pa1 mtatue changamoto hiyo. Mtafte mtu sahihi mwelezi ukweli physically na mfanye bargaining ya hiyo issue. Humu jf n 50/50

Nje kidogo na maada. Mkuu humu jf kuna watu wazr na ambao ni kinyume, kuna wenye uwezo wa kukusaidia hawaoni haja ya kukusaidia coz wao mambo ni sawa. Kuna ambao hatuna chochote ila maneno ya kufariji tu na kukupa nguvu.
Kila la kheri kaka
 
Usimpumbaze awe kama wewe, Wewe una Gari yeye ana njaa gawa hiyo gari yako usiwe na pesa ya kula tuone kama utendelea kuwa kama wewe.

Sio kila nyakati Ego itumike ukiendekeza Ego utakufa unajiona.
Kama unatengeneza connections na watu alafu unawapigia simu hawapokei, SMS hawajibu na ukituma message whatsapp ile bluetick inakaa siku saba, utasema huyo mtu anataka kujenga connection na wewe?

Yamenikuta sana hayo ndio maana nimemshauri asilazimishe connections na watu. Atafute pesa lakini asidhalilishe utu wake.
 
Kama unatengeneza connections na watu alafu unawapigia simu hawapokei, SMS hawajibu na ukituma message whatsapp ile bluetick inakaa siku saba, utasema huyo mtu anataka kujenga connection na wewe?

Yamenikuta sana hayo ndio maana nimemshauri asilazimishe connections na watu. Atafute pesa lakini asidhalilishe utu wake.
Ukiona hvo ujue hao unaowaita connection hauwafai. Connection inatakiwa iwe both ways, iwafae both parties, tofauti na hapo utakuwa unataka msaada tu, na dunia ya sasa watu wanasaidia maskini wale wasiojiweza kabisa.

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
Naomba hizo njia za kutafuta pesa nikaweza kulipa bills zangu na mimi, kumbuka sina mtaji
Kama unatengeneza connections na watu alafu unawapigia simu hawapokei, SMS hawajibu na ukituma message whatsapp ile bluetick inakaa siku saba, utasema huyo mtu anataka kujenga connection na wewe?

Yamenikuta sana hayo ndio maana nimemshauri asilazimishe connections na watu. Atafute pesa lakini asidhalilishe utu wake.
 
Ukiona hvo ujue hao unaowaita connection hauwafai. Connection inatakiwa iwe both ways, iwafae both parties, tofauti na hapo utakuwa unataka msaada tu, na dunia ya sasa watu wanasaidia maskini wale wasiojiweza kabisa.

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Kuna mmoja alikuwa hapokei simu zangu nilipomaliza chuo mwaka 2009 alikuwa anafanya kazi kampuni ya mawasiliano, ila mwaka 2018 nikiwa ninafanya kazi Dodoma akawa ananitafuta kunipa CV ya mtoto wa kaka yake. Na mimi niliichukua ile CV nikaiweka kabatini kwangu mpaka leo sijampa connection yoyote ile.
 
Kuna mmoja alikuwa hapokei simu zangu nilipomaliza chuo mwaka 2009 alikuwa anafanya kazi kampuni ya mawasiliano, ila mwaka 2018 nikiwa ninafanya kazi Dodoma akawa ananitafuta kunipa CV ya mtoto wa kaka yake. Na mimi niliichukua ile CV nikaiweka kabatini kwangu mpaka leo sijampa connection yoyote ile.
Hahhaaaa, ndiyo maana ya connection.

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom