Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,730
- 2,392
Changamoto yake siyo kukosa mtaji, changamoto yake nikutaka kuanza na kikubwa ilhali mtaji alionao ni mdogo, hapo utajikuta unapoteza hata kidogo ulokuwa nacho.Mwenzako changamoto yake sio kuchafuka kwa tope wala kushindwa kusimamia au kuingia shambani, mtaji au pesa ya kuendeshea shughuli za shamba ndio tatizo.
Sasa wewe unaelezea usimamizi wa vibarua na mambo ya boot wapi na wapi? Lakini hongera kwa kuwa na shamba.